Tetesi: Mwana CCM adai mwezi Julai 2020, viongozi wa upinzani hasa Mbowe, Lissu, Zitto, Maalim Seif nk kuhukumiwa vifungo jela na CCM kupita bila kupingwa

Tetesi: Mwana CCM adai mwezi Julai 2020, viongozi wa upinzani hasa Mbowe, Lissu, Zitto, Maalim Seif nk kuhukumiwa vifungo jela na CCM kupita bila kupingwa

Tume ya uchaguzi NEC ni tume huru kwa mujibu wa sheria ya kuundwa kwake, the same way Mahakama ni huru, Bunge ni huru, CAG ni huru, Ofisi ya DPP ni huru, Takukuru ni huru, Tume ya haki za binaadamu ni huru etc, vyombo vyote hivyo,wakuu wake wanateuliwa na rais. Kama mahakama ni huru, Jaji Mkuu anateuliwa na rais, why NEC isiwe huru?, tatizo la NEC sio kuwa sio tume huru, bali sio shirikishi.
inclusive

P
Hayo yote uliyoandika kuhusu 'uhuru' ni kwenye karatasi tu lakini practically haipo hivyo. Katiba ya nchi inavunjwa hovyo hovyo tu.

Mfano Mh. alivyokuwa kule Kigamboni last week akasema yule aliechana Quran afukuzwe kazi na 'hata akishinda kesi' hawezi tena kuwa mtumishi wa umma. Hapo huoni ameshaingilia uhuru wa mahakama?

Uhuru uko wapi P?
 
Wewe kama siyo chizi basi hakuna chizi Tanzania. Jiwe hakubaliki hata kwa mke wake
Serikali ya CCM, inayoongozwa na Rais Dr Magufuli, kwa mikakati yake ya kiuchumi (rejea Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2015) imeifanya Tz kuwa moja yqla nchi zinazoendelea kuwa tajiri. Hivyo hoja ya (1) haina mashiko.

Viongozi wa upinzani, badala ya kuwa na Sera mbadala za kuendeleza nchi hii kiuchumi, wamebaki kuwa viongozi wa matukio. Kwa hali hiyo, hoja yako (2) ni kichekesho tu.

Kwamba Magufuli ana hofu ya kupunguziwa idadi ya kura (hoja na 3) ni ndoto za alinacha na huenda msingi wake ni bandiko zinatolewa kwenye mitandao ya kijamii. Mageuzi ya kiuchumi aliyoyasimamia ni ushaidi na nguvu tosha za kumpa kura maradufu.

Wapinzani wanahaha na madai ya Tume Huru ya Uchaguzi wakijua fika iliyopo ni huru na ndiyo iliyowapa nafasi nyingi za Ubunge, Udiwani na Uenyeviti wa Serikali za Mitaa n Vijiji, 2015. Lakini kwa kuwa wanatambua nguvu yao kisiasa imeporoka, wanatafuta mlango wa kutokea watakapoweka mpira wa uchaguzi kwapani. Hivyo hoja yako (4) ni ya kitoto.

Kwamba Maalim Seif anawekewa mizengewe (hoja na 5) asiwe mgombea Zanzibar, ni hoja ya kizushi. Ukweli kwamba alikimbia CUF, chama ambacho ni mmoja wa waanzilishi, na kujiunga na ACT Mzalendo, chama cha mtu mmoja ni dalili kwamba ameishiwa nguvu kisiasa.

Viongozi wa upinzani wenye kesi mahakamani, ni watu wazima, wazoefu wa siasa ambao waliamua, kwa makusudi, kuvunja sheria, wakidhani wangepata huruma ya wananchi. Tuache mahakama itimize wajibu wake wa Kikativa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi kesi wampe Jaji Magoiga,aligombea ubunge Serengeti kwa tiketi ya CCM
 
Duh...!, nadhani hili ni bandiko la hisia tuu, CCM na serikali yake haiwezi kuwa na uoga wa kushindwa uchaguzi kihivyo kwasababu Rais Magufuli sasa anakubalika sana hadi wapinzani wanaacha vyama vyao kwa hiyari yao na kumuunga mkono.

Tena na kwa track record ya utendaji wake uliotikuka so far, ushindi wa kishindo kwa CCM ni uhakika!, wembe ule ule uliotumika kuwanyoa wapinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ndio utatumika kuwanyoa kwenye uchaguzi mkuu.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC ni tume huru japo sio shirikishi.
Uchaguzi unaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni za uendeshaji uchaguzi huru na wa haki tena tutashauri kwa uchaguzi wa mwaka huu, mawakala waruhusiwe hadi kwenye tallying.

Kama uchaguzi unandeshwa very transparently kwa kura zote hadi za rais kubandikwa vituoni.
Tutawashauri mawakala wote wa vyama vyote wapewe smart phones na ku scan matokeo ya kila kituo na kutuma kwenye tallying centres za kila chama.

Ili kuthibitisha hakuna goli lolote la mkono, hakuna sababu yoyote ya NEC kuzuia independent tallying centres, ila haziruhusuwi kutangaza matokeo, ila matokeo yasipotally then they'll have a strong case to challenge with Documentary evidence, numbers don't lie.

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu ni ushindi wa kishindo cha asilimia 93% kwa CCM, hizo asilimia 7% ni Pemba na yale majimbo mawili ya Zanzibar ambayo yatakwenda ACT!.

Kanuni ya ushindi ni "the end justifies the means"
" the winner takes it all, the losers standing small"

Kwa vile kila mtu ameishajua CCM itashinda uchaguzi, bado naendelea kuisisitiza hoja hii
P

Kuna mtu namuheshimu sana katika hii nchi ni Nabii . huwa hajichanganyi kivile , na neno lake huwa lina hekima sana . alisema kwa maono ambayo Mungu amemuonyesha . alimwambia hivi . wale waliozoea kushinda kiubwete ubwete . sasa wana wakati Mgumu . mwisho wa quote .

nadhani yanayoendelea ndani ya chama cha Mapinduzi , huyajui . chama kina tension sana ,kuhusu chadema kuliko hata kipindi Lowasa amehama . ndiyo maana unaona kamata kamata nyingi na sheria nyingi zimetungwa . Yote hayo ni kwa ajili ya chadema asikatize .

kwa wana chadema hakuna mtu anatakiwa kushukuriwa kama mbowe . haijalishi ana mapungufu ya aina gani . siasa ya sasa mbowe ameivumilia sana na ni ngumu . ni siasa ya wewe na uhai wako . kwani aidha unaweza ukahongwa na wewe una matatizo . hakuna anayweza kukata pesa huku akiwa na shida ni wachache sana.

kwa watu wa dini ni nyakati za kuombea taifa kuliko vipindi vyote vyote kuwahi kutokea .

Mungu ibariki tanzania , Mungu watie moyo wa amani na upendo wanasiasa wa tanzania .
 
Serikali ya CCM, inayoongozwa na Rais Dr Magufuli, kwa mikakati yake ya kiuchumi (rejea Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2015) imeifanya Tz kuwa moja yqla nchi zinazoendelea kuwa tajiri. Hivyo hoja ya (1) haina mashiko.

Viongozi wa upinzani, badala ya kuwa na Sera mbadala za kuendeleza nchi hii kiuchumi, wamebaki kuwa viongozi wa matukio. Kwa hali hiyo, hoja yako (2) ni kichekesho tu.

Kwamba Magufuli ana hofu ya kupunguziwa idadi ya kura (hoja na 3) ni ndoto za alinacha na huenda msingi wake ni bandiko zinatolewa kwenye mitandao ya kijamii. Mageuzi ya kiuchumi aliyoyasimamia ni ushaidi na nguvu tosha za kumpa kura maradufu.

Wapinzani wanahaha na madai ya Tume Huru ya Uchaguzi wakijua fika iliyopo ni huru na ndiyo iliyowapa nafasi nyingi za Ubunge, Udiwani na Uenyeviti wa Serikali za Mitaa n Vijiji, 2015. Lakini kwa kuwa wanatambua nguvu yao kisiasa imeporoka, wanatafuta mlango wa kutokea watakapoweka mpira wa uchaguzi kwapani. Hivyo hoja yako (4) ni ya kitoto.

Kwamba Maalim Seif anawekewa mizengewe (hoja na 5) asiwe mgombea Zanzibar, ni hoja ya kizushi. Ukweli kwamba alikimbia CUF, chama ambacho ni mmoja wa waanzilishi, na kujiunga na ACT Mzalendo, chama cha mtu mmoja ni dalili kwamba ameishiwa nguvu kisiasa.

Viongozi wa upinzani wenye kesi mahakamani, ni watu wazima, wazoefu wa siasa ambao waliamua, kwa makusudi, kuvunja sheria, wakidhani wangepata huruma ya wananchi. Tuache mahakama itimize wajibu wake wa Kikativa

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Soma historia. Walokuwa wakimshabikia Hitler, mipango yake na mikakati ovu, hawakuamini kuwa angeweza kuondoka na kujiua. Kwa vile walimwabudu na kumtukuza kama ufanyavyo wewe. Juhudi za shetani haziishi ila hufanikiwa kwa muda mfupi tu.
 
Tume ya uchaguzi NEC ni tume huru kwa mujibu wa sheria ya kuundwa kwake, the same way Mahakama ni huru, Bunge ni huru, CAG ni huru, Ofisi ya DPP ni huru, Takukuru ni huru, Tume ya haki za binaadamu ni huru etc, vyombo vyote hivyo,wakuu wake wanateuliwa na rais. Kama mahakama ni huru, Jaji Mkuu anateuliwa na rais, why NEC isiwe huru?, tatizo la NEC sio kuwa sio tume huru, bali sio shirikishi.

Kwa vile jf inatumia maandishi, na mimi nimejitambulisha humu kama mwandishi wa kujitegemea, wengi wanadhani kila mwandishi kazi yake ni kuandika tuu, mimi japo najiita mwandishi wa kujitegemea, actually nini ni mtangazaji wa kujitegemea, uandishi wangu ni broadcast journalist, na kuona ni kuamini, sasa tunapojadili jambo ambalo niliishalifanyia mahojiano na kusikia from the horses mouth, likiibuka, badala ya mimi kurudia kusema, natupia link, usikilize mwenyewe, it is not useless, inaweza kuwa useless kwako, lakini mimi mwenye hizo links nina proof kuwa it is not useless kwasababu kila siku kunakuja members wapya wanajiunga na wengine wazamani hii link ndio wataiona leo, hivyo nitaendelea kumwaga ma link, wenye muda watasoma.

Nimefurahi ulivyouliza ushirikishi ni nini, hii maana yake na wewe ni mjinga mjinga fulani usiojua neno shirikishi, wala lengo langu sio kutumia jargon ili ku sound intelligent, bali kuwa intelligent pia ni relative, inafuata kanuni za relativity, unaweza kuonekana very intelligent kwa wengine na ukaonekana kilaza kwa wengine, ila kiukweli mtu asiyeelewa maana ya shirikishi, huyo ni kilaza wa ukweli kabisa!.

Kuwa shirikishi ni kuwa inclusive, NEC sio inclusive

P

Mkuu

Mahakama sio,Bunge sio huru,etc

Nani kakwambia vyote hivyo ni huru?

Umetolea wapi hizo conclusions ndugu yangu?

Mfumo wetu ni flawed,basically vyote vinavyofuatia hapo ni flawed!

Nani kakwambia ni huru????Mawe ndio kakwambia au nani?
 
Duh...!, nadhani hili ni bandiko la hisia tuu, CCM na serikali yake haiwezi kuwa na uoga wa kushindwa uchaguzi kihivyo kwasababu Rais Magufuli sasa anakubalika sana hadi wapinzani wanaacha vyama vyao kwa hiyari yao na kumuunga mkono.

Tena na kwa track record ya utendaji wake uliotikuka so far, ushindi wa kishindo kwa CCM ni uhakika!, wembe ule ule uliotumika kuwanyoa wapinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ndio utatumika kuwanyoa kwenye uchaguzi mkuu.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC ni tume huru japo sio shirikishi.
Uchaguzi unaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni za uendeshaji uchaguzi huru na wa haki tena tutashauri kwa uchaguzi wa mwaka huu, mawakala waruhusiwe hadi kwenye tallying.

Kama uchaguzi unandeshwa very transparently kwa kura zote hadi za rais kubandikwa vituoni.
Tutawashauri mawakala wote wa vyama vyote wapewe smart phones na ku scan matokeo ya kila kituo na kutuma kwenye tallying centres za kila chama.

Ili kuthibitisha hakuna goli lolote la mkono, hakuna sababu yoyote ya NEC kuzuia independent tallying centres, ila haziruhusuwi kutangaza matokeo, ila matokeo yasipotally then they'll have a strong case to challenge with Documentary evidence, numbers don't lie.

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu ni ushindi wa kishindo cha asilimia 93% kwa CCM, hizo asilimia 7% ni Pemba na yale majimbo mawili ya Zanzibar ambayo yatakwenda ACT!.

Kanuni ya ushindi ni "the end justifies the means"
" the winner takes it all, the losers standing small"

Kwa vile kila mtu ameishajua CCM itashinda uchaguzi, bado naendelea kuisisitiza hoja hii
P


My Brother Paskali nilitamani nikutamkie maneno yanayokufaa, ila nitavuta ulimi wangu kidogo. Ila nikuambie ukweli unaangaika sana kutafuta cheo na next time utapata tu maana kwa awamu hii walamba miguu na waimba pambio lazima mkumbukwe.
To be honest you have lost your integrate, mtu kama wewe huwezi kuwa una comment kijinga hivyo. Eti ccm ilishinda ushindi wa kishindo uchaguzi wa local Government want a rubbish comment!!! Hivi unafikiri mtoto wako wa darasa la nne anaweza kuandika ujinga huo? Huko kupendwa anakopendwa huyo unayemsifia ni kupi kunakosababisha aogope ushindani? if he knows that he can win election why is he coward like raven, aruhusu uwanja sawa wa ushindani aone kama atarudi. Paskali umejishushia hadhi kwa kusaka tonge. I hate persons who sell their Identities kwa ajili ya kutafuta ugali.Umenihudhi sana
 
Duh...!, nadhani hili ni bandiko la hisia tuu, CCM na serikali yake haiwezi kuwa na uoga wa kushindwa uchaguzi kihivyo kwasababu Rais Magufuli sasa anakubalika sana hadi wapinzani wanaacha vyama vyao kwa hiyari yao na kumuunga mkono.

Tena na kwa track record ya utendaji wake uliotikuka so far, ushindi wa kishindo kwa CCM ni uhakika!, wembe ule ule uliotumika kuwanyoa wapinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ndio utatumika kuwanyoa kwenye uchaguzi mkuu.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC ni tume huru japo sio shirikishi.
Uchaguzi unaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni za uendeshaji uchaguzi huru na wa haki tena tutashauri kwa uchaguzi wa mwaka huu, mawakala waruhusiwe hadi kwenye tallying.

Kama uchaguzi unandeshwa very transparently kwa kura zote hadi za rais kubandikwa vituoni.
Tutawashauri mawakala wote wa vyama vyote wapewe smart phones na ku scan matokeo ya kila kituo na kutuma kwenye tallying centres za kila chama.

Ili kuthibitisha hakuna goli lolote la mkono, hakuna sababu yoyote ya NEC kuzuia independent tallying centres, ila haziruhusuwi kutangaza matokeo, ila matokeo yasipotally then they'll have a strong case to challenge with Documentary evidence, numbers don't lie.

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu ni ushindi wa kishindo cha asilimia 93% kwa CCM, hizo asilimia 7% ni Pemba na yale majimbo mawili ya Zanzibar ambayo yatakwenda ACT!.

Kanuni ya ushindi ni "the end justifies the means"
" the winner takes it all, the losers standing small"

Kwa vile kila mtu ameishajua CCM itashinda uchaguzi, bado naendelea kuisisitiza hoja hii
P
Yani tokea uitwe na bunge kuhojiwa umebaki kuisifia serikali sijui walikufanyaje kule siri unaijua mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliona wapi simba au yanga ikafa kwa kuondokewa na wachezaji,timu ni mashabiki sio wachezaji hao usajiliwa kila msimu.Upinzani ni wanachama sio viongozi, uliona wapi mmea ukafa kwa kuondokewa na magugu
For the time being, you're right.
 
sarcasm at its best [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh...!, nadhani hili ni bandiko la hisia tuu, CCM na serikali yake haiwezi kuwa na uoga wa kushindwa uchaguzi kihivyo kwasababu Rais Magufuli sasa anakubalika sana hadi wapinzani wanaacha vyama vyao kwa hiyari yao na kumuunga mkono.

Tena na kwa track record ya utendaji wake uliotikuka so far, ushindi wa kishindo kwa CCM ni uhakika!, wembe ule ule uliotumika kuwanyoa wapinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ndio utatumika kuwanyoa kwenye uchaguzi mkuu.

Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC ni tume huru japo sio shirikishi.
Uchaguzi unaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni za uendeshaji uchaguzi huru na wa haki tena tutashauri kwa uchaguzi wa mwaka huu, mawakala waruhusiwe hadi kwenye tallying.

Kama uchaguzi unandeshwa very transparently kwa kura zote hadi za rais kubandikwa vituoni.
Tutawashauri mawakala wote wa vyama vyote wapewe smart phones na ku scan matokeo ya kila kituo na kutuma kwenye tallying centres za kila chama.

Ili kuthibitisha hakuna goli lolote la mkono, hakuna sababu yoyote ya NEC kuzuia independent tallying centres, ila haziruhusuwi kutangaza matokeo, ila matokeo yasipotally then they'll have a strong case to challenge with Documentary evidence, numbers don't lie.

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu ni ushindi wa kishindo cha asilimia 93% kwa CCM, hizo asilimia 7% ni Pemba na yale majimbo mawili ya Zanzibar ambayo yatakwenda ACT!.

Kanuni ya ushindi ni "the end justifies the means"
" the winner takes it all, the losers standing small"

Kwa vile kila mtu ameishajua CCM itashinda uchaguzi, bado naendelea kuisisitiza hoja hii
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badala ya kukaa na kutafakari nini kinaendelea kwenye chama chenu hadi viongozi wanahama, mnabaki kuandika mambo ya kipumbavu mitandaoni. Mlibebea bango eti Mzee Makamba na Mzee Kinana Makatibu Wakuu wa zamani wa CCM wajitoa CCM. Mkajaza threads humu weeeeee! Mkajaza koments weeee! Mwisho wa siku, Katibu Mkuu wenu wa zamani ndio akahamia CCM. Hiyo Paschal Mayalla anaiita Karma!
Kamati ya maadli iliwabembeleza wanaoitwa wasaliti ndani ya ccm wasijiuzulu, tofauti na chadema haibembelezi wasaliti,
 
Habari wananchi!

Taarifa inayofanyiwa kazi na ccm hasa makada watiifu ambao ni majaji wa mahakama kuu ni kuhakikisha viongozi wakuu wa upinzani kufungwa jela walau miezi sita na kuendelea ili kupisha ccm itawazwe kushinda ngazi zote za uongozi kuanzia udiwani, ubunge na urais.

Sababu za kufanya ivyo ni pamoja na

1. Kupunguza gharama za uchaguzi kwani kwa sasa bajeti haipo/haitoshi kuendesha uchaguzi.

2. Kuufuta upinzani nchini kwa kuonyesha dunia kuwa viongozi wa upinzani ni waaharifu na mahakama imewahukumu na sio serikali

3. Hofu ya Magufuli kupunguziwa idadi ya kura.

4. Madaj ya tume huru na iwapo upinzani wakiamua kujitoa kabla ya kutolewa na tume kama ilivyofanyika kwenye chaguzi za serikali za mitaa

5. Zanzibar kuna plani kuu mbili, kupitisha sheria kumzuia maalim seif kutogombea na inabidi akae miaka 2 kama kahama chama na pili wamfungulie kesi yoyote itakayomsababisha kufungwa au kukosa sifa ya kuwa mgombea wa urais.

Agenda kuu Kuhamia ccm ukigoma unatupiwa kesi, then kifungo wanaolengwa zaidi ni Mbowe, Lissu, Zitto. Na viongozi wote kwenye kesi ya Akwilina watafungwa isipokuwa ka Dr Masinji atatolewa kwa mlango wa nyuma.
Tetesi au hisia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM kama mnakubalika kwa wananchi kwa nn mnatumia nguvu kubwa ?????????
 
Back
Top Bottom