Yes Ni kweliHalafu inaonekana wanaume wanaongoza kutelekeza watoto, mwishowe wakianza kukataliwa wanaanza kulalamika huku wao ndio wameanzisha makosa
MyuzisheniAkiwa Kenya na bendi yake View attachment 1043368
Uchochezi huu[emoji23]Napita tu
Hayo ndiyo matokeo ya kuzalisha halafu unaingia mitini halafu unajiona mjanja kuwadharau single mothers.
Mwanaume mwenzangu kama ulitelekeza mtoto na mama yake hakikisha hauhitaji msaada uzeeni.
Watoto wa siku hizi siyo wale wa enzi zile sasa hivi JINO KWA JINO. UKINIKATAA BAADAE NITAKUKATAA
Kwamba anaumwa?Mwana fa amkumbuke mzee wake anahali mbaya sana
Neno moja, ale jeuri yake, kuzaa na kutotunza ni sawa na kutoa mimbaMwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Raha ya wabongo akudhalilishe tuKuna thread zingine ni uzushi hata kama hauna uhakika na kinachoongelewa
kigezo mzee wake anahali mbaya sana amsaidieWazee baadhi hawatimizi Majukumu Yao vizuri.
Dunia ni mwalimu dadanguWatu mna maneno. Hivi mnasomea wapi wenzetu?
Akale aliko peleka mboga huyu Mzee, niliskiliza story yake FA hata kaburi la mama yake halijuiMwana fa amkumbuke mzee wake anahali mbaya sana
Akale aliko peleka mboga huyu Mzee, niliskiliza story yake FA hata kaburi la mama yake halijui
Haiondoi ubabaAkale aliko peleka mboga huyu Mzee, niliskiliza story yake FA hata kaburi la mama yake halijui
Namuelewa halafu namuelewa Tena nilimsikia Kwa Salama historia yake daah... nilijiskia huruma mnoooMwana FA kapitia mengi sana.
Binafsi namuelewa sana mwana fa
SAWA ila kumsaidia sio lazima pia ,ubaba sio usperm donorHaiondoi ubaba