life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,035
Swadaqta !!Swadata
Yes that's true brouko sahihi kabisa!
ukikataa kataa jumla hata ukisikia ana pesa kama bilgate wee endelea kumkana tu😊!
Halafu eti akishakua akawa na mafanikio ndo wanarudi wanalialia.. Wapambane na hali zao mfyuuuuYaani akili zao zipo kupenda mteremko ,ndio maana wanakata watoto wao hili kukwepa majukumu( Marioo)
watu wanajibu kirahisi bila kujali, wajaribu kuvaa viatu vya watoto yatima ndo watajua ugumu uliopo.Mkuu bora umejibu maana hawajielewi na lawama kwa wanawake
Kama Una Nia huyo Baba hasilalamikeHili jambo tukilitazama kwa undani zaidi ni jambo kubwa sana na lina mzizi mrefu.
Tukumbuke mwanamke naye anachangia kutokea kwa hili jambo.
Kwa upande mwingine wanawake wanajirahisisha kwa wanaume mwishowe wanaachwa na watoto kutwlekezwa maana mwanaume hakuwa na nia na mwanamke isipokuwa ni kwa haja ya muda mfupi tu.
Japo Sijaelewa vizuri wote hapo walikuwa wamefikwa na umauti, Ni kwamba tukitubu tunasamehewa na kwenda mahali salamaSwadaqta !!
Naomba usone kisa hiki
Kisa kama hiki kilitokea huko (jina na mji kapuni) " Jamaa baada ya kufariki dunia akaamua kwenda hadi mlangoni mwa jahanamu kuulizia maSwahiba zake...!! Akajibiwa kuwa msawahiba zako uliowaacha duniani walishatubu baada ya kifo chako, hivo hapa hawapo !! "
Jee msomaji umejifunza nini ktk issue hii !!
Unajua watu wengine sijui wameumbwaje ? Hawana hata aibu , mi siwezi , ningekufa kigumu Tu , kama nilikata mtoto hiyo ni foreverHalafu eti akishakua akawa na mafanikio ndo wanarudi wanalialia.. Wapambane na hali zao mfyuuuu
ni imani yangu hii mifano ya wasanii itatufundishia watu!Sasa mkuu ukimuacha mwanamke na ujauzito au mtoto kwa sababu tu yeye ndiye alijilengesha wewe hukuwa na haja na mtoto si ufuate mambo yako? Au mtoto akishazaliwa akalelewa, akakua, akawa na hela, akapendeza ndo sasa baba yake unakuwa na haja na mtoto?
Yaani wazee kama hawa siyo wa kuwaendekeza kabisa kama alizingua na yeye azinguliwe vile vile! Dawa ya moto ni moto. Mpaka washike adabu na akili ziwakae maana wamezoea.
Mkuu nakuelewa vizuriwatu wanajibu kirahisi bila kujali, wajaribu kuvaa viatu vya watoto yatima ndo watajua ugumu uliopo.
unakuzwa na watu baki kwa tabu kama mtoto yatima halafu baba yuko bize na mama mdogo aisee nisipokukana hadharani sijui tu!
kama amethubutu kunikana siwezi hata kufanya vibarua nipate pesa ya kula hata mimi sioni ajabu kukukana ukiwa na ndevu na mvi zako!
Ni kiri tu mkuu, mimi ni miongoni mwa waliopitia hii dhahamahujapitia magumu wewe!
Hadi sasa naishi kwa Anko tangu nikiwa na miaka 7, anko kanipeleka shule maana mzee alikataa na hata ndugu zangu wengine waliokuwa wanaishi na mzee walikataliwa kupelekwa shule. Maza alikomaa kivyake akawapeleka shule ndugu zangu wengine aliokuwa anaishi nao, Bro wangu alianzia MEMKWA hatimaye alifanikiwa kumaliza form 4 na Mungu akajalia akasonga mbele japo hajapitia Advance.unalelewa kwa kuhamahama leo kwa aunt kesho kwa mjomba kesho kutwa kwa babu kisa baba ako kakukataa yuko bize na mambo yake?
Mimi nishamsamehe, tunakula sahani moja kote kote na walionilea na yeye piakama ni mimi sitamsamehe niko radhi nigawane na walionisaidia kipindi ninahitaji msaada!
Mara nyingi hawa wazee huwa wanaviburi ila hawafikirii mbali yatakayotokea hasa wakifika umri wa uzee.huo ubaba wa uzeeni ni sawa na marafiki wanaokupenda ukiwa nacho( hawa napiga chini).
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui kwann nimecheka kwa nguvu
Mwana FA cannot do this.Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Na Wasanii wengi wamelelewa na mzazi mmoja ni huzuni kubwa.ni imani yangu hii mifano ya wasanii itatufundishia watu!
Kabisa mkuu wajifunze kuanzia kwa diamond,, kwa FA na wengineni imani yangu hii mifano ya wasanii itatufundishia watu!
Wanakuwa wamejisahau sijui..maana wewe mwenyewe ulimkana mtoto halafu akikukana unalia ....maajabuUnajua watu wengine sijui wameumbwaje ? Hawana hata aibu , mi siwezi , ningekufa kigumu Tu , kama nilikata mtoto hiyo ni forever
Kuna mwaka flan wakati wa tuzo za Kili,the Kilimanjaro Band ilishinda tuzo akapanda huyu mzee akiwa kasindikizwa na Mwana FA na mbele ya umma mwana FA alisema ni baba yake mzazi,tangu siku hiyo hadi leo ndo najua huyu mzee pichani chini mwenye nguo nyeupe ndiye baba halisi wa FAMwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
You are the greatest!!! Amani kwako!!!Ila tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande
Labla baba mlezi.Kuna mwaka flan wakati wa tuzo za Kili,the Kilimanjaro Band ilishinda tuzo akapanda huyu mzee akiwa kasindikizwa na Mwana FA na mbele ya umma mwana FA alisema ni baba yake mzazi,tangu siku hiyo hadi leo ndo najua huyu mzee pichani chini mwenye nguo nyeupe ndiye baba halisi wa FAView attachment 1043422