life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,035
Swadaqta !!Swadata
Naomba usone kisa hiki
Kisa kama hiki kilitokea huko (jina na mji kapuni) " Jamaa baada ya kufariki dunia akaamua kwenda hadi mlangoni mwa jahanamu kuulizia maSwahiba zake...!! Akajibiwa kuwa msawahiba zako uliowaacha duniani walishatubu baada ya kifo chako, hivo hapa hawapo !! "
Jee msomaji umejifunza nini ktk issue hii !!