Siyo kweli. Huyo mwenye nguo nyeupe si ni Waziri Ally? Au unamaanisha huyo aliye nyuma ya Mwana FA?Kuna mwaka flan wakati wa tuzo za Kili,the Kilimanjaro Band ilishinda tuzo akapanda huyu mzee akiwa kasindikizwa na Mwana FA na mbele ya umma mwana FA alisema ni baba yake mzazi,tangu siku hiyo hadi leo ndo najua huyu mzee pichani chini mwenye nguo nyeupe ndiye baba halisi wa FAView attachment 1043422
Kuna mwaka flan wakati wa tuzo za Kili,the Kilimanjaro Band ilishinda tuzo akapanda huyu mzee akiwa kasindikizwa na Mwana FA na mbele ya umma mwana FA alisema ni baba yake mzazi,tangu siku hiyo hadi leo ndo najua huyu mzee pichani chini mwenye nguo nyeupe ndiye baba halisi wa FAView attachment 1043422
Ooh yes ni Waziri AllySiyo kweli. Huyo mwenye nguo nyeupe si ni Waziri Ally? Au unamaanisha huyo aliye nyuma ya Mwana FA?
Mzee anayaunguza maini
Ila tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande
Hao ni wapenda bure ni parasite ( kupe)Tatizo wazee wakishaona watoto wao wamefanikiwa ndiyo wanaibuka!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16]Naomba lisinitokee japo mzee kashalikoroga toka zamani
Sasa kama ni hivyo kuwa mwanamke alijilengesha, kwanini mwanaume anajiliza liza akisikia mwanae katoboa?Hili jambo tukilitazama kwa undani zaidi ni jambo kubwa sana na lina mzizi mrefu.
Tukumbuke mwanamke naye anachangia kutokea kwa hili jambo.
Kwa upande mwingine wanawake wanajirahisisha kwa wanaume mwishowe wanaachwa na watoto kutwlekezwa maana mwanaume hakuwa na nia na mwanamke isipokuwa ni kwa haja ya muda mfupi tu.
Safi sana [emoji122][emoji122][emoji122]Upuuzi huo mie nimeukataa kwanza hatuna bond yoyote na hata tukikaa hatuna la kuongea mi na yeye mbalimbali hana mchango wowote katika Maisha yangu, ukaribu na Mimi aliuanza baada ya kusikia niko chuo kikuu, pasipo kuwa na mchango wowote katika Safari yangu ya Maisha na kielimu. Simuhitaji kwa lolote km ushauri naupata kwa aliyenilea, awepo asiwepo it doesn’t make any difference.
Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Mzee apambane na hali yake sio mzee apambane ya hela yote.Mzee apambane ya hela yote..
Weka video au ushahidi tuamini lasivyo huu ni adaku kama udaku mwingine, shut up
anashidagani =ana shida gani.Unakimbizwa au haraka ya kuwahi Gongolamboto?