Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Na we ukisikia babako anapesa endelea kumchunia tu msilete unafiki hapa.uko sahihi kabisa!
ukikataa kataa jumla hata ukisikia ana pesa kama bilgate wee endelea kumkana tu[emoji4]!
Unajua huyu Nazjaz baada ya kuhangaikia na yale yalompata miaka ile (banker) anataka kuharibu na majina ya wengine! Kukana na kutomjali ni vitu viwili tofauti.Kuna kumkana na kutokumjali n vitu viwili tofauti mleta Mada tutofautishie
Sent using Jamii Forums mobile app
New slogan in town mkuu.. Kama uko Nanjilinji huwezi kuifahamu hiyo..Mzee apambane na hali yake sio mzee apambane ya hela yote.
Tulia ili uandike vizuri, kwani unakimbizwa au unataka uonekane umekuwa wa kwanza 'ku-reply'?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamu wa mafanikio kila mtu anaujua mkuu. Hapo atafanya kila linalowezekana ili mwanae amkubaliSasa kama ni hivyo kuwa mwanamke alijilengesha, kwanini mwanaume anajiliza liza akisikia mwanae katoboa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kujibu swali lako kwa sababu sio mtumiaji wa pombe.yaani,,,lkn nikuulize swali,,hivi kuna kolabo ya redbull na bia,,,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Ndg... Hutaki kupanua wigo wa kutafakari na kujiongeza ? Go beyond the horizon...Kujifunza kitu kwenye vitu vya kufikirika tu visivyo na uhalisia?
Ha ha ha... Umeipatia kidogo tu!!Japo Sijaelewa vizuri wote hapo walikuwa wamefikwa na umauti, Ni kwamba tukitubu tunasamehewa na kwenda mahali salama
Mungu wangu hiyo sio bia ni red bull[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
Sio bia, ni kitu cha redi buli.
Hata kama kidogo zawadi yangu iko wapi swali uliniuliza usiku huku nikiwa na usingizi tele nikasumbua ubongo wangu.Ha ha ha... Umeipatia kidogo tu!!
Ni hivi!! Huyo jamaa wa kwanza hakuwahi kutubu !! Sasa wenzake walipo ona swahiba wao kafariki ktk Hali ile ya anasa na ufuska wa timu yao!! Wakajirekebisha na kuwahi kutubu na kumrudia Mungu!! Yeye jamaa yule hakuwa akiyajua kuwa wenzake washakuwa wacha Mungu!! Alipofufuka akaenda kuwatafuta...
Ndo dawa yenu kuuutwa kutuita singo mazaz watoto wakikuwa Tena wakiwa matajiri mnaleta makalio yenu kudai watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Ah mkome mwanaume akishammwagia mwanamke na kusema tam tam mnamaliza haja mnaondoka halafu mnatuita singo mazaz na kelele na kejeli za kutisha tunadanga tunauza papuche tunahangaishwa na watoto migongoni jua na mvua letu af watoto wakikuwa mnaleta uzwazwa Mani narrrHichi kizazi nacho kimezidi kuwakana baba zao...
Super hero daddy
PumbafuIla tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande