Mwana FA amkana Baba yake mzazi

Mwana FA amkana Baba yake mzazi

Japo Sijaelewa vizuri wote hapo walikuwa wamefikwa na umauti, Ni kwamba tukitubu tunasamehewa na kwenda mahali salama
Ha ha ha... Umeipatia kidogo tu!!
Ni hivi!! Huyo jamaa wa kwanza hakuwahi kutubu !! Sasa wenzake walipo ona swahiba wao kafariki ktk Hali ile ya anasa na ufuska wa timu yao!! Wakajirekebisha na kuwahi kutubu na kumrudia Mungu!! Yeye jamaa yule hakuwa akiyajua kuwa wenzake washakuwa wacha Mungu!! Alipofufuka akaenda kuwatafuta...
 
Ha ha ha... Umeipatia kidogo tu!!
Ni hivi!! Huyo jamaa wa kwanza hakuwahi kutubu !! Sasa wenzake walipo ona swahiba wao kafariki ktk Hali ile ya anasa na ufuska wa timu yao!! Wakajirekebisha na kuwahi kutubu na kumrudia Mungu!! Yeye jamaa yule hakuwa akiyajua kuwa wenzake washakuwa wacha Mungu!! Alipofufuka akaenda kuwatafuta...
Hata kama kidogo zawadi yangu iko wapi swali uliniuliza usiku huku nikiwa na usingizi tele nikasumbua ubongo wangu.
 
View attachment 1043422[/QUOTE]
Huyo Wazirii Ally ni Mkongwe anayejulikana siku nyingi, hata kama FA alisema ni baba yake nina uhakika kuwa wengi tu walijua sio wa kumzaa, na wala hakumaanisha hivyo.

Kina Baba watimize wajibu wao, bila hivyo watatambulishwa wengine hadharani na wewe upo.
 
Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.

Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.

Mpe neno mzee huyo

53545905_134281164291208_1366937534533206016_n.jpg
Ndo dawa yenu kuuutwa kutuita singo mazaz watoto wakikuwa Tena wakiwa matajiri mnaleta makalio yenu kudai watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hichi kizazi nacho kimezidi kuwakana baba zao...

Super hero daddy
Ah mkome mwanaume akishammwagia mwanamke na kusema tam tam mnamaliza haja mnaondoka halafu mnatuita singo mazaz na kelele na kejeli za kutisha tunadanga tunauza papuche tunahangaishwa na watoto migongoni jua na mvua letu af watoto wakikuwa mnaleta uzwazwa Mani narrr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande
Pumbafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom