ctl jr
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 391
- 86
Jamaa una chuki za kike sana siku hizi.
Drama zipi sasa ,wakati kuna ---- kamletea hizo ishu. Ulitaka akae kimya?
Anafikiri kila mtu yupo kutafuta kiki anasahau wengine ni kiki tosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa una chuki za kike sana siku hizi.
Drama zipi sasa ,wakati kuna ---- kamletea hizo ishu. Ulitaka akae kimya?
Atakuwa kajitumia mwenyewe huo ujumbe ili asikike
Hivi anavyo sema kazi yake au kazi yao ni ngumu ana ongelea kazi gani?Kuimba ndio kazi ngumu? FA ni threat kwa nani mpaka atake kuuwawa? Mmmh
Tanzania bwana...yaani huyu naye anajiita star? Yaani kuimba karaoke mtu unajiita star? Mhhhh, kweli kazi ipo hapa!
Nani amuue hamis bwana mbona unatupotezea mda hapa.
Mafala wana midomo kama vicheche,usiwe kati yao,wanaoponda ya wenzao rudi angalia maisha yao_FA
Na gwajima atakuwepo!!!??
Iv hujapat umbea wa mh first class n florah?? Kantangazeee
Nilisikia umbea mwenzangu, mmh sijui kweli, maana huyu mh kama kwel scandal zake atakuwa hatar sana , nadhan utakuwa umeelewaMh binamu mpana kama pazia la sinema lol haya tupe ubuyu basi binamu.
Nilisikia umbea mwenzangu, mmh sijui kweli, maana huyu mh kama kwel scandal zake atakuwa hatar sana , nadhan utakuwa umeelewa
exclusive mwana fa kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm 2015 tanga nimeipata kwa mkuu mmoja serikali