Mwana FA asema wimbo "Muziki" wa Darassa umerudisha heshima Kwa wasanii wa hip hop

Hehehehe naona team kibakuli wote wamehamia kwa darasa sasa, mmeona kibakuli kawaangusha nini?
 
Acha Maneno Muachilieni Maxence Mello
 
unatoka mbio na hauna break...
[emoji441][emoji441][emoji441]
what do you expect
 
Ni wimbo usio wa Hip-hop uliofanywa na Mwanahip-hop na ukapendwa na wanahiphop.
that is hiphop song!! nyie mnataka waimbe kama Yule jamaa wa hip hop bila madwa.. that is hip hop ana rap song.. enjoy drs musiki
 
Darassa ndio mwenye wimbo mmoja?!
 
Mwana fa bana eti mwanaume suruali.....
 
"Kumuelewesha chizi utajipa kazi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…