Mwana FA auangana na mastaa wa USA kwenye game la All Stars - NBA

Mnajua mnabeza kwa kuwa hamuelewi kupanda ndege economy class na kuwa kwenye business class.

Nauli ya business class ni sawa na nauli ya economy mara 2.5, sasa wewe upo tayari kujilipia nauli yako na mwenzako na nusu halafu unasafiri peke yako?
bussiness class ni zaidi ya mara 2 ya economy kwenda tu hongkong kwa bussiness tena sio mbali kama US inafika zaidi ya dolla elf4000 so ni zaidi 6a milioni saba na economy ni dolla elf na mia 300 tu mda mwingine chini ya hapo
 
Kama unaweza ku afford business Au first class Shida iko wapi? Zamani ndio ilikua chakushangaza sikuizi kawaida tuu Mkuu..

Hapa tunamzungumzia mwanamziki wa bongo fleva. Mambo ya zamani na sasa hayo ni maoni yako.

Kama ni kitu cha kawaida mbona nafasi za hizo first na business class ni chache. Kwa nini isiwe ndege nzima kama wewe unavyoona ni kitu cha kawaida?
 
Mnajua mnabeza kwa kuwa hamuelewi kupanda ndege economy class na kuwa kwenye business class.

Nauli ya business class ni sawa na nauli ya economy mara 2.5, sasa wewe upo tayari kujilipia nauli yako na mwenzako na nusu halafu unasafiri peke yako?

Ndege ikianguka wa business class hawafi au vipi?

Tell me what he owns. Haya mambo ya wasanii na usafiri mbona wengi wanalipiwa na sponsors tu hawa?
 
Hongera Billionea Mwanafalsafa soon nawewe utamiliki private jet kama ya al-waleed wa saudia.
 
Hii jamaa alilipiwa na CCM kwenda kutumbuiza kwenye maadhimisho yao kule majuu US, pia ommy dimpoz nae yupo njiani kwenda kumuunga mkono.

Hela za kodi zetu hizi, mwache kijana azimang'anyue!
 
Huyo mwenzake hapo nyuma yupo busy kusoma kitabu yeye ni picha
 
Mziki au mshahara wa clouds tusiuziane mbuzi kwenye gunia bana
 
Hii habari nimeiona sasa hivi CNN, inside Africa, wamemsifia sana Mwana FA, inamake headline kimataifa sasa
 
Inaonekana ni jambo la adimu. Hivi kwanini wabongo tunapenda kupiga picha tukipanda ndege? Hii ilinitokea majuzi. Tunapanda ngazi za Fastjet, jamaa mbele yangu anapipa simu yake eti nimpige picha anapanda ngazi za ndege. SMH!

Wengine bila waajiri Cabin wangeisikia kwenye bomba mkuu.
 
Mnajua mnabeza kwa kuwa hamuelewi kupanda ndege economy class na kuwa kwenye business class.

Nauli ya business class ni sawa na nauli ya economy mara 2.5, sasa wewe upo tayari kujilipia nauli yako na mwenzako na nusu halafu unasafiri peke yako?

Nani anatangulia kufika kati ya hao wawili? Ingekuwa b/class unalipiwa na malazi huko uendako sawa. Mimi naruka sana tu lakini kwa kuwa naenda kutafuta starehe kwangu na familia nikirudi.
Kuna watu mijini wanafanya ufahari wakati wanakaa kwa wazazi, au nyumba kapanga....nk
 
Kawaida sana!
Hiyo ni Emirates boing 777 wala sio Air bus 380 jumbo class ni biz bei ni million 350000
Ambacho hamkijui FA kalipiwa tiket na Big boss Sallah wa home shopping center
Na safari ilikuwa ya US
So wana JF msidanganyane FA na Muziki wake hana mbavu ya kukata tiket hiyo
Sio yeye tu hata Domo bado sana kupanda class hiyo Kwa Ndege kama emerates mara kadhaa labda ethopia (Fuso)
 
Ni kweli nzuri bhana hata ikipotea kama ya Malaysia inawapeleka Kwetu pazuri pia.
 
Santa Maria! mleta uzi ilidhani huu uzi wako utakua mbwa kamng'ata mtu au mtu kamng'ata mbwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…