Kambale mtoto
Member
- Jun 21, 2017
- 36
- 25
Daaah kweli Tanzania haiwez kuendelea ata miaka elf tatu mbele, yaani kuna watu wanahumia kabisa kwa vitu wasivyofaidika navyo, hii ni nchi gani kila mtu anamuonea wivu mwingine? Nchi gan hii kila mtu anataka kuskia habari mbaya mbaya tu za watu wengine?
Ujinga ni mkubwa sana hapa nchini, wewe Tigo unaijua? Inalisaidia nin taifa kama sio kuliibia tu? Je ni kampuni la mzawa?
Mkuu acha kupoteza muda, kamtafute wakili aliyesimamia kesi ya ay na mwana fa muende mahakamani!! Hata ukishindwa itakua nafuu kuliko kukaa ndani na kuumia bila sababu!!!Wanasheria waliposhindwa kesi mara ya kwanza wangewaita jamaa wajadili hili swala nje ya mahakama ili wapewe discount. Na katika settlement hiyo wangeishia kulipa hata bilioni moja wakaokoa moja.
Haya makampuni yana tabia za kutumia kazi za watu bure bure.
Hata mimi miaka ya 2005 kampuni ya voda waliwahi kutumia proposal zangu na hawakunilipa hata mia. Kwa kuwa sikuwa na hati miliki nazo nilishindwa kuwafungulia mashitaka nikabaki tu naumia rohoni...
Mkuu, tangu 2006! Imeshapita miaka mingi sana.. Waache tu.Mkuu acha kupoteza muda, kamtafute wakili aliyesimamia kesi ya ay na mwana fa muende mahakamani!! Hata ukishindwa itakua nafuu kuliko kukaa ndani na kuumia bila sababu!!!
Je hiyo project inatumika hadi leo??Mkuu, tangu 2006! Imeshapita miaka mingi sana.. Waache tu.
Eti msanii mkubwa ni diamond tu na ana wimbo wa bilioni 2.1 [emoji23][emoji23][emoji6]
Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
Mtoa Post bado sanaa kujielewaa katika maswala haya.
Haufai hata kuigwa na mtoto mdogo.
Ulitaka walipwe kiasi gani??!
Sent using Jamii Forums mobile app