Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Mwana FA na AY baada ya kujitoa ECT walikua wanaachia pini juu ya pini kali tupu.
Mfano hii Pini ya Usije Mjini, dah ilikua inanikosha sana kuanzia biti hadi AY anavoimba na FA kuchana.
Kuna mstari verse ya kwanza FA alisema: "... huku huku kwenye ufisadi, waliopo hawataki kurudi, ata mbunge wa kwenu yupo, uko atakuja uchaguzi.."
Hii kauli sahivi yeye ndio anaomba huo Ubunge.
Yote tisa, aisee hawa jamaa walikua wanaimba sana sema nadhani enzi izo game ilikua hailipi saana kama sahivi.
Mfano hii Pini ya Usije Mjini, dah ilikua inanikosha sana kuanzia biti hadi AY anavoimba na FA kuchana.
Kuna mstari verse ya kwanza FA alisema: "... huku huku kwenye ufisadi, waliopo hawataki kurudi, ata mbunge wa kwenu yupo, uko atakuja uchaguzi.."
Hii kauli sahivi yeye ndio anaomba huo Ubunge.
Yote tisa, aisee hawa jamaa walikua wanaimba sana sema nadhani enzi izo game ilikua hailipi saana kama sahivi.