Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Ni maajabu ya karne!
Tangu mwaka 2023 tulielezwa kwamba ukarabati mkubwa utafanyika katika uwanja wa Mkapa, Tukaelezwa kwamba zimeshatengwa zaidi ya bilioni 30 kwa ajili ya kazi hiyo na uwanja ukatangazwa kufungwa.
Ukijaribu kuhoji utaambiwa vyoo vimerekebishwa, Mashabiki na wachezaji wanakuja uwanjani kujisaidia haja ndogo? Hizi ni akili za wapi?
Lengo na madhumuni ya kwanza ya uwanja ni eneo la kuchezea, Inashangaza mpaka sasa pitch ni mbovu, hakuna TV, Hakuna mabango ya matangazo yanayodisplay kwa umeme, Kwa kifupi uwanja bado hauna mvuto hata kidogo!
Kumbuka hapo ni zaidi ya bilioni 30 zimewekezwa na ni zaidi ya miaka miwili imepita!
HAYA NI MAAJABU
Tangu mwaka 2023 tulielezwa kwamba ukarabati mkubwa utafanyika katika uwanja wa Mkapa, Tukaelezwa kwamba zimeshatengwa zaidi ya bilioni 30 kwa ajili ya kazi hiyo na uwanja ukatangazwa kufungwa.
Ukijaribu kuhoji utaambiwa vyoo vimerekebishwa, Mashabiki na wachezaji wanakuja uwanjani kujisaidia haja ndogo? Hizi ni akili za wapi?
Lengo na madhumuni ya kwanza ya uwanja ni eneo la kuchezea, Inashangaza mpaka sasa pitch ni mbovu, hakuna TV, Hakuna mabango ya matangazo yanayodisplay kwa umeme, Kwa kifupi uwanja bado hauna mvuto hata kidogo!
Kumbuka hapo ni zaidi ya bilioni 30 zimewekezwa na ni zaidi ya miaka miwili imepita!
HAYA NI MAAJABU