Mwana FA ni Jay Z wa Tanzania

Mwana FA ni Jay Z wa Tanzania

Hii nyimbo Sio nyimbo ya kuifurahia sn,,
Sisi wenye akili nyingi ni matusi makubwa.

[[emoji444]Pesa Sio matako Kila mtu anayo[emoji444]

Hivi wakati ule ana njaa angeimba wimbo huu?
Hivi mtu lofa huna kitu unawezaje kuimba na kupenda wimbo huo?
Ni matusi kwenu malofa.
 
Hii nyimbo Sio nyimbo ya kuifurahia sn,,
Sisi wenye akili nyingi ni matusi makubwa.

Pesa Sio matako Kila mtu anayo

Hivi wakati ule ana njaa angeimba wimbo huu?
Hivi mtu lofa huna kitu unawezaje kuimba na kupenda wimbo huo?
Ni matusi kwenu malofa.
Tafuta na wewe hizo hela! Unamlaumu nani?
 
Nyimbo za machoko hizi

Sasa kaimba Nini

Unakuaje smart upstairs unaimba uchoko Kama uo?

Jay z Maisha yake ni kioo kwa dunia nzima .

Mtu yoyote anayesikiliza
nyimbo za Bongo fleva Mimi najua ni choko Grade A .


Unawezaje kudownload nyimbo ZINAZOHUSU ushoga?
 
Pesa kila mtu anazo. Tofauti ni kiwango tu.

Usijiweke dhaifu sana mbele ya Pesa, UTAFIRWA mnooooooooooo.
Umenena mzee
Wananikera wenye kauli ya 'tafuta hela' 'tafuta hela'. Ni kweli kabisa ndio hawa huishia kubaya. Hela zisikutoe udhaifu mtu na kuwa faken of ze faken. Kuabudubudu hela unakuja kufanywa vya sirini.
 
Umenena mzee
Wananikera wenye kauli ya 'tafuta hela' 'tafuta hela'. Ni kweli kabisa ndio hawa huishia kubaya. Hela zisikutoe udhaifu mtu na kuwa faken of ze faken. Kuabudubudu hela unakuja kufanywa vya sirini.
Wabongo wengi wamesha fucky hope, so wapo inspired na mashoga
Mond harmo nk
 
Usimtukane mzee kwa kabila lake.
Kila kabila lina wajanja na wadwanzi.
Nimefanya mishe na hao wamakonde nimekutana nao wapo vijana wajanja tu.
Sema tu watoto wa Pwani na Kusini wana katabia fulani ka usnitch.

Watu wengi waliopitia ufukara, halafu wakafanikiwa huwa wana hulka za kishamba
 
nilikuwa na mkubari sana mwana FA ila alivoingia ccm tu na kupata ubunge wa vimemo na nyimbo zake zote mpaka zile za nyuma nikazichukia sababu zimekaa kiccm
Huyo ni ujinga.

FA still ni music Genius hapa bongo

Usimix music na siasa japo huko siasani anaonekana ni walewale tu Hana tofauti na akina mwijaku na babalevo.

Ila music he is fvvvckin' genius.

U should listen his music not his political blah blah!
 
Back
Top Bottom