Mwana FA ni Jay Z wa Tanzania

Mwana FA ni Jay Z wa Tanzania

FA huwa anaimba mtazamo wake kuhusu maisha na mahusiano, binafsi huwa sikubaliani naye.

Kwanza Mwanamume kuweka pesaa mbele ya kila kitu ni ushoga, lazima uwe na mipaka.

In short,ni uswahili wa kichoko, na ndio maana anaishi kwa uchawa.

Eti Masikini Jeuri ni msemo tu,usiuweke kwenye akili, yaweza kuwa hata hao kina Salaah anayowafanyia uchawa wanamfira. Maana kea maelezo yake jamaa ni dhaifu sana akioneshwa pesa.
Duuuuuuh tuhuma hizi lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zaman nilikua namkubali sana FA kwa michano yake ya kibabe, ila baada ya mie kuanza kusoma vitabu na kusikiliza mziki tofauti tofauti duniani nikagundua kajamaa huwaga kanakopi/kutafsiri tu mistari(a.K.a gugo transileta). Hakunaga mstari wa ngoma yake ulinibamba kama ule ''MI NI ALMASI MCHANGANI,SEMA TU SIJASHTUKIWA'' . Kuna siku nimetulia gheto namsikiliza mtu mzima 50cent ngoma ya many men nakuta anachana same line, yaani ilibaki kidogo nikoment page ya mtu mzima 50 ''yo 50 you kopied ze laini flom mwana fa, mwingine fid eti ''NAULENGA MWEZI NA JUA HATA NIKIUKOSA NTATUA JUU YA NYOTA'' i waz like r u siliaz nigg? Ukiwa artist pasua kichwa uje na chako kuliko kupewa taji kwa vina vya tafsiri,
bora namsikilize SONGA na goma lake lile anaimba maisha ya ndege(aliwaza nje ya box) au lile la usiku
Kwani mstari wa "NAULENGA MWEZI NA JUA HATA NIKILIKOSA NTAJUA"
Wimbo gani wa mbele una huu mstari
 
Skiza goma la Kontawa wewe kali sana ila Neema wa mitego kaaribu sana
 
Kuna wapuuzi wanamponda Mwanafa kuwa CCM, halafu kwenye jukwaa la siasa wanalalamika inchi haina Demokrasia.

Sasa unajiuliza hivi Demokrasia maana yake wanaijua. Wewe kama hutaki kusikiliza Mwanafa kwa ajili ya ujinga wako wa kutoelewa Demokrasia husisikilize sisi tutamsikiliza.

Kuna maisha nje ya siasa.
Sure
 
Back
Top Bottom