Tafuta na wewe hizo hela! Unamlaumu nani?Hii nyimbo Sio nyimbo ya kuifurahia sn,,
Sisi wenye akili nyingi ni matusi makubwa.
Pesa Sio matako Kila mtu anayo
Hivi wakati ule ana njaa angeimba wimbo huu?
Hivi mtu lofa huna kitu unawezaje kuimba na kupenda wimbo huo?
Ni matusi kwenu malofa.
Ni mwehu pekee ambaye hana pesa akisikia wimbo huo anakenua meno ,Tafuta na wewe hizo hela! Unamlaumu nani?
Pambana mwana mpaka uchange jina lakoNi mwehu pekee ambaye hana pesa akisikia wimbo huo anakenua meno ,
Pesa Sio matako kila mtu anazo
Hovyo kabisa..
Haya ni matusi kwenu malofa...mnapaswa mpinge kwa nguvu zote.
Nibadilishe kivipiPambana mwana mpaka uchange jina lako
Usimtukane mzee kwa kabila lake.Ushamba...usisahau kabila lake
Umenena mzeePesa kila mtu anazo. Tofauti ni kiwango tu.
Usijiweke dhaifu sana mbele ya Pesa, UTAFIRWA mnooooooooooo.
Wabongo wengi wamesha fucky hope, so wapo inspired na mashogaUmenena mzee
Wananikera wenye kauli ya 'tafuta hela' 'tafuta hela'. Ni kweli kabisa ndio hawa huishia kubaya. Hela zisikutoe udhaifu mtu na kuwa faken of ze faken. Kuabudubudu hela unakuja kufanywa vya sirini.
La mama ykoPesa kila mtu anazo. Tofauti ni kiwango tu.
Usijiweke dhaifu sana mbele ya Pesa, UTAFIRWA mnooooooooooo.
Utapewa banLa mama yko
We jamaa umeona nilichokuwa nafikiriMashair mazuri Sana,
Video nzuri Sana,
Tatizo beat bovu sana
La mama na baba yakoLa mama yko
Waambie wanipe jukwaa la hovyoo hiliUtapewa ban
Usimtukane mzee kwa kabila lake.
Kila kabila lina wajanja na wadwanzi.
Nimefanya mishe na hao wamakonde nimekutana nao wapo vijana wajanja tu.
Sema tu watoto wa Pwani na Kusini wana katabia fulani ka usnitch.
Kuwazidi watu wa kanda ya ziwa? Wakerewe na watu wa mbeya?Mtu wengi waliopitia ufukara, halafu wakafanikiwa huwa wana hulka za kishamba
We wivu unakusumbua na utakuwa masikin mpaka unakufa ukiendelea na hako ka tabia cha wivu! IdiotMtu wengi waliopitia ufukara, halafu wakafanikiwa huwa wana hulka za kishamba
Huyo ni ujinga.nilikuwa na mkubari sana mwana FA ila alivoingia ccm tu na kupata ubunge wa vimemo na nyimbo zake zote mpaka zile za nyuma nikazichukia sababu zimekaa kiccm
Mkono wa P Funk umepita mzee....Beat katengeneza Gach B P Funk kapitisha mkono pia tena kwenye mastering na mixing....husikii vinanda vya P Funk?P funk haezi tengeneza upuuzi kama ule