Mwana FA ni Jay Z wa Tanzania

Duuuuuuh tuhuma hizi lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mstari wa "NAULENGA MWEZI NA JUA HATA NIKILIKOSA NTAJUA"
Wimbo gani wa mbele una huu mstari
 
Jay z wa bongo ni AY pekeee hadi wanafanana
 
Skiza goma la Kontawa wewe kali sana ila Neema wa mitego kaaribu sana
 
Sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…