Mwana FA: Tulilipwa Bilioni mbili na milioni mia moja hamsini na tano baada ya kushinda kesi

wachache wanajitambua, P-Funk alilamba ile 100m peke yake na kumchinjia mbali Prof-J kuhusu beat ya Nikusaidieje kutumika kwenye Katwe
Proffesa Jay kipindi kile alipokuwa anatumia biti za Majani kupiga show alikuwa anamlipa kiasi gani Majani?

Tena Majani yupo fair sana kama tungekuwa na sheria kama za mbele Majani leo hii angekuwa ni bilionea.
 
Ku “attach” au “kufreez “ account
Kwa lugha ya kisheria ni attachment of Judgment debtor account au kwa neno lingine inaitwa garnishee order, mahakama inamuamuru third party (bank) kumzuia mdaiwa (judgment debtor) kutoa pesa kwenye account yake badala yake benki inaamuriwa kumlipa mdai (decree holder) deni lake kutoka kwenye akaunti husika.
 
Bila shaka ni "Mwana-FA" na siyo ''Mwanafa" .

Anyway, huyu Mwana-FA ana falsafa nzuri sana kimaisha. Bila shaka ugumu wa maisha ulimpa akili nyingi sana.

Muheza wamepata mbunge sahihi. Kura nyingi kwa Mwana-FA.
Nakumbuka 2015 kwenye kampeni za CCM, Rais Magufuli alikuwa anamwita "Bwana FA" [emoji16][emoji16][emoji23]
 
Haya majamaa yana akili nyingi sana,wamekausha kwa kipindi chote hicho sasa hv ndio wanafunguka mpunga waliouingiza baada ya kuutumia wote,nadhani walijua fika kuwa wangeropoka kipindi kile mizinga ingekuwa mingi sana kutoka kwa ndugu na jamaa
Waliogopa kutekwa au kuvamiwa.
 
Khalfan Majani Alilalamikia Sana Mambo Hayo.....
 
😍😍
 
Sidhani Kama harmy B alitoka mtupu kwa jinsi alivyoshibana na hao jamaa .

Unaweza kuwa aliwauzia biti Ila jamaa watakuwa walitoa Muungwana tu maana Ni mchizi wao sana .

Kwenye huo mpungu hata msando kaonja hela
Hiyo pesa hakuambuliwa kitu iligawana kati yake, Ay, na mr. albert almaarufu kama (ksado)
 
Fedha hatari mkuu inakatika kama upepo!! Bil 1.2 imeishia kutengeneza FynByFalsafa kwa wakala?
Kuna siri nyingi sana kwenye pesa hawezi kuziweka wazi. Zile hela ziligawanywa kwa watu wengi. Hata hivyo hawezi kufirisika kirahisi kama Idrissa. Mwana-FA ana akili kubwa sana. Nyota yake inazidi kung'ara tu na sasa anaingia mjengoni
 
Haya majamaa yana akili nyingi sana,wamekausha kwa kipindi chote hicho sasa hv ndio wanafunguka mpunga waliouingiza baada ya kuutumia wote,nadhani walijua fika kuwa wangeropoka kipindi kile mizinga ingekuwa mingi sana kutoka kwa ndugu na jamaa
Mbona issue inajulikana muda tu mkuu..tena kesi ilikua mahakaman..haikua Siri hela waliyolipwa

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Thanks naona jargon za kisheria hizo
 
Kwa mimi ngoma pekee ya FA niliyoielewa ni ile ya "Mimi na Mabinti damu damu" baada ya hapo naona kama alijiwekea rekodi ambayo baadae ameshindwa tena kuifikia.
 
Kuna siri nyingi sana kwenye pesa hawezi kuziweka wazi. Zile hela ziligawanywa kwa watu wengi. Hata hivyo hawezi kufirisika kirahisi kama Idrissa. Mwana-FA ana akili kubwa sana. Nyota yake inazidi kung'ara tu na sasa anaingia mjengoni
Nakubaliana na wewe kwenye akili kubwa,kwenda bungeni ni probability maana anayepambana naye ni mbunge aliyemaliza muda 2020(Chadema).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…