Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Ulitaka aanzishe niniBil afu anaanzisha pafyumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka aanzishe niniBil afu anaanzisha pafyumu
We ulitaka aanzishe niniUlitaka aanzishe nini
Mimi sikutaka aanzishe kituWe ulitaka aanzishe nini
Kwani kapokea bei gani na katumia bei gani kuanzisha pafyumu?Mimi sikutaka aanzishe kitu
Ila wewe umemponda kuanzisha pafyumu .
Ndio ungesema angeanzisha Nini?
Kwa ile hela aliyopata
Sie wa Bumbuli tumepata hasaraBila shaka ni "Mwana-FA" na siyo ''Mwanafa" .
Anyway, huyu Mwana-FA ana falsafa nzuri sana kimaisha. Bila shaka ugumu wa maisha ulimpa akili nyingi sana.
Muheza wamepata mbunge sahihi. Kura nyingi kwa Mwana-FA.
Hapana jimbo lilikuwa chini ya ccm mbunge ni jajusi na balozi wazamani adadi rajabu,ex spy chief intelligence moja kati ya ma sniper hatari kuwahi kutokea kati uso wa nchi ukimuacha marando (the living legend)Nakubaliana na wewe kwenye akili kubwa,kwenda bungeni ni probability maana anayepambana naye ni mbunge aliyemaliza muda 2020(Chadema).
Mkuu haujanielewa vizuri ,Adad si amepambana naye ndani ya CCM na akakatwa ,namzungumzia anayepambana naye kwa sasa ni mbunge aliyemaliza bunge la 2015-2020 kwa chadema.Hapana jimbo lilikuwa chini ya ccm mbunge ni jajusi na balozi wazamani adadi rajabu,ex spy chief intelligence moja kati ya ma sniper hatari kuwahi kutokea kati uso wa nchi ukimuacha marando (the living legend)
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Ouky bro anapambana na nanii hapo muheza,Mkuu haujanielewa vizuri ,Adad si amepambana naye ndani ya CCM na akakatwa ,namzungumzia anayepambana naye kwa sasa ni mbunge aliyemaliza bunge la 2015-2020 kwa chadema.
Ila siyo huyo pichanii maaana huyo ni mh pendo peneza
Yeah nimekosea ku upload picha.Ila siyo huyo pichanii maaana huyo ni mh pendo peneza
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app