Kwenye mwanafalsafa,tuliza boli,aminia na nyinginezo..
No matter what,huwezi kusema mfalme,hawajui na yalaiti ni ngoma mbovu
my best list of F.A
Mabint damu damu
Tuliza boli
Ungeniambia
Alikufa kwa ngoma
Dirisha la misuko suko (sina hakika kama ndiyo jina halisi la wimbo)
Msiache kuongea
Siku macho nikiyafumba
Binamu
my best list of F.A
Mabint damu damu
Tuliza boli
Ungeniambia
Alikufa kwa ngoma
Dirisha la misuko suko (sina hakika kama ndiyo jina halisi la wimbo)
Msiache kuongea
Siku macho nikiyafumba
Binamu
my best list of F.A
Mabint damu damu
Tuliza boli
Ungeniambia
Alikufa kwa ngoma
Dirisha la misuko suko (sina hakika kama ndiyo jina halisi la wimbo)
Msiache kuongea
Siku macho nikiyafumba
Binamu
1.aminia ft cowizy na babu
2.nazeeka sasa ft sugu na Jay.
3.mwanafalsafa.
4.hawajui ft
5.alikua kwa ngoma
6.mfalme
7.ungenambia.
8.demu wangu wa kwanza ft bele 9
9.show time.
10.mabinti.
My top ten from Fa
show time
wanapendana
unanitega
bado niponipo!
nimesahau ila yupo na jide
ila fa noooma
anakwambia
ukiwa kwangu lazima ukose mkonoo
lazima utoe machozi iwe huzuni ama upendo
*************
amina kawa mayna clara na rayya au labda marayya
sikitu hataki jina na asia anaitwa eshia
************
Ungeniambia kwamba penzi lako hutoka kwa ofa ya bia,au hata bure ukijisikia,,
Unakosaje kukumbuka hifazi ya Penzi langu,Au umeota mabawa hulitaki tena tundu! Ungeniambia
Ndio Binamu ninae mjua uyo.
Sitaki unipende, nataka unichukie..
Katafute kauli mbaya ndiyo uje uniambie.
B
Penzi lako hutoa kwa ofa au bure ukijisikia!!Unatumika tu Kama kijiko cha Hoteli,,sawa mzuri ila mchafu nipite mbali.
B.
demu wngu wa kwanza aliimba na Q jay
Twende mwanafalsafa!!
Mwenge hauna mafuta,bado mnauwasha hadharani!!
Kama kulala,njoo tulale nyuma ya mstari wa adui!!
Nyie team Kiba pigeni kimya kwanza.
Single moja kelele NCHI nzima.
Najigeuza Dully natoa namba ya simu 3 3 upumb.
Mzuka unampanda kiziwi ngomani kaskia nini..
Jamaa anajua nilikuwa namkubari sana kitambo.
To be honest ngoma yake ya mwisho kuikubari saana ni binamu. Ile ngoma ukichanganya beat ya Marco Chali aliua vibaya.
Toka hapo namkubari kawaida..
I love you because you love good musictuliza ball acha kudata
sisi tunaroll bila matata
combination yenyewe umepata
muziki unakuvutavutaaaa....!!!
unapataa!!
[5] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] thank you!I love you because you love good music