Mwana FA, Umepiga hatua 4 mbele umerudi 8 nyuma, Disapointing

Mwana FA, Umepiga hatua 4 mbele umerudi 8 nyuma, Disapointing

Kiboko yangu Wimbo mbovu? Labda ubovu wake upo kwenye nini?

Au ndo kisa kiba?

Usikilize ! Afu ulinganishe na ngoma yeyote ya F.A kipindi yupo juu. Zipo nyingi chagua mwenyewe.

!!
 
Morning guys,mimi ni shabiki haswaa wa Mwana FA kama ulianza kupenda bongo fleva juzi ndio utamdisi mwana FA,hamna mwandishi wa nyimbo anayeumiza kichwa kama huyu jamaa that y we calld him Mwanafalsafa,Mfalme ndio ngoma inayodhihirisha hili baada ya kuandikwa nyongi huko nyuma,nakubaliana na mtoa mada kwa hili,kuitoa hii ngoma na kiba ilikuwa mapema mno,mfalme bado ilikuwa inafanya pouwa,huu wimbo aliotoa na kiba upo pouwa ila hiki haukuwa kipindi chake angesubiri mfalme ichuje,point Noted nitamshauri kama nilivyomshauri kwenye bifu na Jide,tukaomba msamaha na soon Ngoma kali na Jide mtaiskia January hivi au Feb ngoma itatoka.

Mwana FA yupo vizuri
Hii ngoma ya mfalme ipo poa video mbovu. Hii ngoma bado ipo kwenye joto angeipa time then atoe ingine
Ili jina la mwanafalsafa mmemuita wenyewe kama si kupewa na bro'z wake
Ila mwandishi mzuri bt J. moe
Ndo king wao
 
Naona hapa ndo unaput an end to kiba and Dimond kama ulivohaidi!!:How sympathetic!!
 
Tusiongozwe na ushabiki APA tangy nimeanza kusoma comment za watu nimegundua kuna pande mbili zinakinzana hapa, kwanza kuna ukiba na diamond humu. Jaman Hawa watu wote ni wazuri kila mmoja kwa nafasi yake.
Speaking ya song ya FA mi huyu jamaa sijawahi kumchukia wala kuona akifanya kazi mbaya huko nyuma ila kwa hii kateleza kidogo. Ni ubinadamu wake tumpe nafasi atatoka na kikali zaidi.
 
Morning guys,mimi ni shabiki haswaa wa Mwana FA kama ulianza kupenda bongo fleva juzi ndio utamdisi mwana FA,hamna mwandishi wa nyimbo anayeumiza kichwa kama huyu jamaa that y we calld him Mwanafalsafa,Mfalme ndio ngoma inayodhihirisha hili baada ya kuandikwa nyongi huko nyuma,nakubaliana na mtoa mada kwa hili,kuitoa hii ngoma na kiba ilikuwa mapema mno,mfalme bado ilikuwa inafanya pouwa,huu wimbo aliotoa na kiba upo pouwa ila hiki haukuwa kipindi chake angesubiri mfalme ichuje,point Noted nitamshauri kama nilivyomshauri kwenye bifu na Jide,tukaomba msamaha na soon Ngoma kali na Jide mtaiskia January hivi au Feb ngoma itatoka.
Jide na binamu wamemaliza bifu?
Na wanakuja na ngoma mpya
 
Hakuna song kali ya FA ka hii, simpendi huwa sipendi kuskiliza nyimbo zake ila najishangaa hii nmeweka repeat 1
 
Unanitega ah ah
Mbna miguu iko waz umenipenda
Hebu uko!...
Mbna kifua kiko waz unanitega ah ah...
Kla uendapo nawe upoupo, ah
Kla nfanyacho n vituko ss sema kama unataka...............................


MwanaFa... bigi apu bigi apu, iyo nyimbo ulotoa kipind hiki mwaya hapana naungana na #blogger .
 
Ulisikiliza album ya Mwanafalsafani....yule ndio Mwana F.A ninayependa arudi siku zote. Halafu yule alikua bext na JD...I want that shit back gddmt!
 
Alikushauri nani utoe wimbo wa pili harakaharaka ilhali 'MFALME' , ilikua bado maskioni mwa watu.

Ulikurupuka au kurupushwa.?

Huu wimbo ulofanya na KIBA si level zako,,
kiba kabana pua ,sijui anaimbia wapi,? Kaharibu, we mwenyewe ume..! Damn.

Nilijua unarudi , ila umejipoteza., kwa hii ngoma, hata jina siijui.

Disapointed Me.

.

Rose Mhando katoa ngoma mpya,vp unaitasiminije yenyewe ndugu mchambuzi?
 
Back
Top Bottom