Mwana FA umetusaidia sana maana walizidi kutuchuna

Mwana FA umetusaidia sana maana walizidi kutuchuna

Ngoma nzuri ila kwenye uhalisia haipo achana na papuchi pale sir God alicheza unaweza kuona jamaa lijanja likiwa kitaa kifua kama tembo ila akiwa ndani nakatoto kadogo ka kike kanamsukuma na kidole cha mwisho yani anakua mwepesi kama pamba acha bana
 
Huo ni ujinga sasa mnavo waona wamependeza na kuvutia mnafikiri nani anawahudumia mkifata ushauri wa huyo jamaa mademu wazuri mtaishia kuwaita shemeji!
Kwani lazima kuwa nao.....tukiwanyima wote watapata wapiiii
 
Juzi wakati natoka bagamoyo njiani wakapanda wadada wawili, sasa wakaanza kusema##SISI WANAWAKE TUNASEMA WANAUME HAWANA MAPENZI KWETU, SIO KWELI, ILALA CC WANAWAKE TUNAWAFANYA WANAUME WATUCHUKIE KWA KUWAPIGA MIZINGA HATA ISIYO YA MSINGI(mwisho wa kunukuuuu)
 
Huyu Mwana fa ni mnafiki sana alitundanganya tusioe Mara gafla akaoa sasa hivi amekuja kututeketeza kabisa,yani tulianza kujiwekea mazingira ya kuvuta jiko anakuja na stori sijui tusionge huyu jamaa anatutakisha kitu gani kwani!?sasa nyie msikilizeni muone kama mtaoa hakuna mwanamke anataka mwanamke suruari,..jamaa ana wife tayari!!
 
Ngoma nzuri ila kwenye uhalisia haipo achana na papuchi pale sir God alicheza unaweza kuona jamaa lijanja likiwa kitaa kifua kama tembo ila akiwa ndani nakatoto kadogo ka kike kanamsukuma na kidole cha mwisho yani anakua mwepesi kama pamba acha bana


Mkuu niagizie safari baridi mbili nakuja naye!
 
Aliwaimbia bado yupoyupo na ameoa,sasa kawaimbia msihonge bado mnamwamini lolest
 
Back
Top Bottom