dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
lile beat(na keys) za mdachi mie hoiDuli Mnyama sana kwenye chorus ya wanapendana ile dude balaa sana mamake walahi,sema halikupata airtime ya kutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lile beat(na keys) za mdachi mie hoiDuli Mnyama sana kwenye chorus ya wanapendana ile dude balaa sana mamake walahi,sema halikupata airtime ya kutosha.
Napenda vitovu ila naogopa shanga
Genta hii ngoma ilinipa courage ya hatare....msiache kuongea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Napenda vitovu ila naogopa shanga
Sijui labda mtoto ama labda bado mshamba
Wote wanavaa vikuku ili kuleta picha ya ngono
We subiri ipigwe lager uone wanavyokata mauno...."wanavyopiga mipasuo"
Usiseme wanavutia wenzao au vitovu vinavyoachwa wazi hawalengi jinsia yao
Magauni km vioo mabroo ndo kusudio nyie ndo honey wao.........
....
Nenda club siku za mabinti bure washkaji wanajazana
utadhan wanaambiwa wasilale
wote wanakwenda gym ili body zivutie warembo
ukidhani una mbinu mabinti wana mitego
Usiamini kua hawataki nawaelewa kwa mikogo
wanatamani kuaprochi ila wanaogopa kuitwa mlupo
............
Ukiskiliza hiz ngoma za zamani mambo ya Chitaki au Nina hamu ya kutooo totooo ni TAKA TAKA KABISA.
Kaka umekubali?[emoji1787] Jamaa kachana sana sana[emoji119]Mkuu ngoma kali asee nimeskiliza tena...
Kwenye namba mbili itakaa MSIACHE KUONGEA
Hii ngoma katembea sanaIsikilize ASANTENI KWA KUJA in details
FA kaua sana aisee
Flow
Punchline
Lyrics na
Beat