Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hio sio picha yake ya fumanizi acha kujifanya much nooo
JF newbies buana...wewe umeweka uzi chitchat halafu unapangia watu vitu waandike 😂😂😂
Wewe Mbayu wayu endelea kupambana na Kong'ota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio sio picha yake ya fumanizi acha kujifanya much nooo
Dah.....kijamii kufumaniwa mwanaume siyo kosa kivileee.....Ila mwanamke ndiyo kizaazaa 🤣🤣🤣Poleni. Fumanizi sio kosa la jinai, hapaswi kushikiliwa, hivyo anashikiliwa kwa kosa gani?, kituo gani?.
P
Ndugu zake wawasiliane na Muliro. Polisi walioshiriki kubambikiza kesi hawana kaziKafumaniwa na mume wa mtu huko sinza ila yeye hakujua na wala alikuwa hajui jamaa ni mume wa mtu. Hivo wamempiga piga, wakampeleka polisi kwa madai ya wizi na ulaghai kwa kutumia video. Hivo mpaka muda hu sa 5 hii yupo korokoroni. Tumempelekea msosi amegoma kula kabisa ila nduguze wanajaribu kuyamaliza hapa kituoni.
Siyo jinai.Kuiba penzi la mtu mwingine siyo kosa la jinai?
Ni wewe ndie ulifumaniwa eeh!Updates: Ametoka jamani yupo mtaani anajuta sana jamani analia tu members wa celebrity, MMU, ChitChat na habari na hoja mchanganyiko tumwombeeni arudi katika hali yake!
Dream Queen sio mimi ila unamfahamu tena ni shoga yako sanaNi wewe ndie ulifumaniwa eeh!
Sio kwa Ushabiki huu.
Mmh! Shoga angu mie humu jf sina hata shoga nipo nipo tu,Dream Queen sio mimi ila unamfahamu tena ni shoga yako sana
Tumemshirikilia kwa usalama wake.No sio kosa la jinai, ni kosa la madai, mwizi wa penzi hapaswi kushikiliwa lupango!.
Kuna baadhi ya makosa, yakiwemo wizi wa penzi, sio makosa ya jinai, ni crimes against morality.
P
It's true, kwenye kesi za fumanizi, sometimes it's safe sio kumshikilia mtuhumiwa kwa usalama wake, bali kuwashikilia watuhumiwa kwa usalama wao, ila watuhumiwa wanaoshikiliwa kwa usalama wao, hawawekwi lupango, wanawekwa mapumzikoni kituoni kwa muda wa saa 24 tuu, ili hasira za mwenye mali zipoe, tena wanapaswa kushikiliwa wote wawili, ili kumzuia mwenye mali asifanye kitu kibaya under provocation.Tumemshirikilia kwa usalama wake.
Nani huyo hapa kila member ni famousSio vizuri kumtag ila ushamjua ni famous huku na haonekani!
Ilikuwa wiki iliyopitaSoon atarudi jukwaani mwalimu wa zamu
Wamtag basi tumpe pole
Ushauri mzuri sana,barikiwaNawewe uwe makini usije fumaniwa ntajinyonga buree!