Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ni mfanyakazi wa JamiiForums ndiye Afisa habari wao huyo dadaMbona naitafuta sana humu ( hapa ) hiyo ID yenye Jina lake la Happiness Essau ili niwe naona Michango yake ya Akili lakini haionekani Mkuu?
Nia ya wewe kusema uongo ni ipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JFNi mfanyakazi wa JamiiForums ndiye Afisa habari wao huyo dada
Afadhali maana nilishaamini post yake.Lengo la wewe kusema uongo ni lipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JF
Sorry mkuu nilipitia comment za huyo dada niliona anasema ni afisa habari wa jamii media...Lengo la wewe kusema uongo ni lipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JF
Unamhukumu vipi mtu kupitia sura au muonekano wake?Roving Journalist, Ok noted
Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi
Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi
Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani
Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge
Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama
Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?
Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?
Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,
Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama
Watembea nusu uchi,na wavaa hovyo wote wanatia nia ccm kweli?
Wazinzi na makahaba wamo
Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo
Hii ni aibu kuu
ββββ βRoving Journalist, Ok noted
Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi
Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi
Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani
Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge
Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama
Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?
Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?
Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,
Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama
Watembea nusu uchi,na wavaa hovyo wote wanatia nia ccm kweli?
Wazinzi na makahaba wamo
Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo
Hii ni aibu kuu
Lengo la wewe kusema uongo ni lipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JF