Uchaguzi 2020 Mwana JamiiForums Happiness Essau, achukua fomu ya Ubunge Jimbo la Bukoba

Uchaguzi 2020 Mwana JamiiForums Happiness Essau, achukua fomu ya Ubunge Jimbo la Bukoba

Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo

Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi

Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani

Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge

Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama

Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?

Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?

Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,

Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama


Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo

Hii ni aibu kuu
Acha propaganda mkuu.kwani mashart ya kutia nia ubunge au udiwani yanasemaje?....

Hii ndiyo democrasia.MTU kuwa msanii comedian sioni kama kikwazo cha kushindwa kuwatumikia wananchi.mifano IPO hai.

Waache wakatie nia.kanuni na taratibu zitafuatwa ili kupata mgombea mwenye dhamira ya kweli kwenda kuwatetea wananchi..hata ww.nafasi unayo tatizo hujiamini tu.
 
Nia ya wewe kusema uongo ni ipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JF
Mkuu, hebu msome Mhusika hapa halafu tupatie ufafanuzi:

Happiness Essau
Verified Member

Aug 9, 2016 166 225

Jul 26, 2017
NGOGO CHINAVACH said:
Leo tarehe 26.07.2017 mbunge alikuwa na mkutano maeneo ya soko kuu mbona hatupati mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu, mimi ni Afisa Mawasiliano wa Jamii Media sio wa Mbunge. Taarifa ya mkutano ataleta hapa Mbunge au Katibu wa Mbunge. Hili ni jukwaa la wanaBukoba wote na sehemu sahihi kwa ofisi ya Mbunge, Halmashauri na taasisi nyingine kuwasilisha taarifa zao kwa wananchi. Aidha, nimepata picha chache za mkutano huo;
 
Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo

Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi

Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani

Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge

Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama

Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?

Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?

Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,

Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama


Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo

Hii ni aibu kuu
 
Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo

Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi

Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani

Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge

Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama

Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?

Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?

Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,

Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama


Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo

Hii ni aibu kuu
 
Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Acha kudharau watu wewe, fikiria mtu mpaka apoteze muda aingie Jf awe member unaona ni mtu wa kawaida??
Kina Msukuma Kibajaji walikuwa wabunge mbona huwasemi wanao tetea bangi??
Walitumwa kutetea bangi bungeni na CCM??
Chunguza jirani zako wangapi ni member humu??
Huyo binti anastahili pongezi kujitokeza kugombea ubunge!!
Ingawa ni kwa lichama chakavu nampa kongole apambane wenzake kabla hawajakutana na CHIEF KAJUNA!!
 
Mkuu, hebu msome Mhusika hapa halafu tupatie ufafanuzi:

Happiness Essau
Verified Member

Aug 9, 2016 166 225

Jul 26, 2017

Ndugu, mimi ni Afisa Mawasiliano wa Jamii Media sio wa Mbunge. Taarifa ya mkutano ataleta hapa Mbunge au Katibu wa Mbunge. Hili ni jukwaa la wanaBukoba wote na sehemu sahihi kwa ofisi ya Mbunge, Halmashauri na taasisi nyingine kuwasilisha taarifa zao kwa wananchi. Aidha, nimepata picha chache za mkutano huo;

Happiness alikuwa Afisa Habari wa Jimbo la Bukoba Mjini katika Mradi wa Tushirikishane uliokuwa ukiendeshwa na JamiiForums mwaka 2017.

Hakuwa mwajiriwa wa JamiiForums bali aliajiriwa na mradi na kazi yake iliisha mwisho wa mradi.

Zaidi, soma Ajira ya muda katika Jamii Media - Afisa Mawasiliano (9)
 
Roving Journalist, Ok noted

Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi

Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo

Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi

Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani

Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge

Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama

Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?

Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?

Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,

Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama


Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo

Hii ni aibu kuu
Soma Katiba ya nchi vizuri.
Ulichokiandika ni kinyuma cha katiba ya Jamhuri ya Tanzania (haki ya kuchagua na kuchaguliwa)

Halafu kutia nia haina maana ya kuchaguliwa kuwa Mbunge. Waache wajitokeze kwa wingi ili chama kipate fedha za kutosha kupitia ada ya fomu.
 
Back
Top Bottom