Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Mle ban huyoooLengo la wewe kusema uongo ni lipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mle ban huyoooLengo la wewe kusema uongo ni lipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JF
Fashion, misifaKuchukua form kupitia CCM ni fahari kwa kuwa Chama kimejengewa heshima.
Acha propaganda mkuu.kwani mashart ya kutia nia ubunge au udiwani yanasemaje?....Roving Journalist, Ok noted
Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi
Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi
Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani
Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge
Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama
Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?
Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?
Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,
Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama
Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo
Hii ni aibu kuu
Mkuu, hebu msome Mhusika hapa halafu tupatie ufafanuzi:Nia ya wewe kusema uongo ni ipi hasa? Jamii Forums haina Afisa Habari wala Happiness si mfanyakazi wa JF
Ndugu, mimi ni Afisa Mawasiliano wa Jamii Media sio wa Mbunge. Taarifa ya mkutano ataleta hapa Mbunge au Katibu wa Mbunge. Hili ni jukwaa la wanaBukoba wote na sehemu sahihi kwa ofisi ya Mbunge, Halmashauri na taasisi nyingine kuwasilisha taarifa zao kwa wananchi. Aidha, nimepata picha chache za mkutano huo;NGOGO CHINAVACH said:
Leo tarehe 26.07.2017 mbunge alikuwa na mkutano maeneo ya soko kuu mbona hatupati mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe CCM? Imekula kwake ,hiyo laki angeendelea kununulia carolight tu!!Happiness Essau ALITAKA JIMBO LA BUKOBA MJINI, AJITOSA KUCHUKUA FOMU
View attachment 1508910
Bi Happiness Essau akikabidhiwa fomu yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Bukoba Mjini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
View attachment 1508909
Bi Happiness Essau amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia (CCM).
Kumbe zile form ni laki....duuh watu wana moyoKumbe CCM? Imekula kwake ,hiyo laki angeendelea kununulia carolight tu!!
Hahahaha, kumbe wewe km Mimi eehrafiki nasubiria mzee baba amalize awamu yake
Roving Journalist, Ok noted
Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi
Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi
Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani
Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge
Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama
Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?
Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?
Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,
Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama
Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo
Hii ni aibu kuu
Roving Journalist, Ok noted
Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi
Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi
Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani
Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge
Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama
Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?
Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?
Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,
Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama
Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo
Hii ni aibu kuu
Acha kudharau watu wewe, fikiria mtu mpaka apoteze muda aingie Jf awe member unaona ni mtu wa kawaida??Roving Journalist, Ok noted
Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi
Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Mkuu, hebu msome Mhusika hapa halafu tupatie ufafanuzi:
Happiness Essau
Verified Member
✅
Aug 9, 2016 166 225
Jul 26, 2017
Ndugu, mimi ni Afisa Mawasiliano wa Jamii Media sio wa Mbunge. Taarifa ya mkutano ataleta hapa Mbunge au Katibu wa Mbunge. Hili ni jukwaa la wanaBukoba wote na sehemu sahihi kwa ofisi ya Mbunge, Halmashauri na taasisi nyingine kuwasilisha taarifa zao kwa wananchi. Aidha, nimepata picha chache za mkutano huo;
Soma Katiba ya nchi vizuri.Roving Journalist, Ok noted
Chama kinatiwa najisi cha mapinduzi
Chama kimegeuzwa sehemu ya kuonyeshea maigizo
Dunia ina vituko sana na vichekesho zaidi
Wasiojielewa na mbumbumbu wote wanachukua fomu ili wakatunge sheria zikatumike mahakamani
Kuna watia nia wengine ukiwaangalia sura zao tu inaonyesha hawaelewi kazi ya mbunge na kazi ya bunge
Hii ni fedhea kukidhalilisha chama cha mapinduzi,Watu wanakiabisha chama
Kwa hiyo ukiondoa wale wahamihaji toka chadema na wajenga hoja toka chadema,Chamani tumebaki na steve Nyerere na Mpoki comedian kweli?
Hivi Mpoki na Steve wanaweza chambua vifungu vya sheria bungeni?
Kuna kitu hakipo sawa chamani,Sasa mbumbumbu na wasiojielewa wa
megeuza chama sehemu ya maonyesho na kuvaa nguo za kijani,
Hii ni aibu kuu
Nasema wamekidhalilisha chama
Matapeli na wasanii wasio na kazi maalum wamo
Hii ni aibu kuu
Nimeelewa Mkuu. Usengwile!Happiness alikuwa Afisa Habari wa Jimbo la Bukoba Mjini katika Mradi wa Tushirikishane uliokuwa ukiendeshwa na JamiiForums mwaka 2017.
Hakuwa mwajiriwa wa JamiiForums bali aliajiriwa na mradi na kazi yake iliisha mwisho wa mradi.
Zaidi, soma Ajira ya muda katika Jamii Media - Afisa Mawasiliano (9)