Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,558
- 2,702
Mi natumia namba ya marehemu dada.angu since 2007Mkuu eti inawezekana mdogo wa marehemu atumie simu ya aliyekufa kwa muda wote huo, bila hata kubadili sim card. Sasa ana lengo gani nayo. Hatujui.
Mimi nilipewa simu ya babu yangu nikae nayo alipokufa baada ya miezi miwili nikaizima.
Sent using Jamii Forums mobile app