Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Alifikia High peak of Depression mbaya hakupata mazingira rafiki ya kupunguza hiyo level ya Depression.
Portfolio | 2020
Nilitaka niandike hicho, at least angekaa na mtu kama wewe na angefungulia biashara ambayo ashurutishwi na mtu.Ni vile ubinadamu tu..mie nilimpromise aje dar tuenjoy wote..akawa ananiambia i wish iw hata tmr .pale kwao wote wlimtenga .yaan kumtenga kbs..wanapika wanakula hawamwiti! Imagine sijui mtoto itakuwaje!
Bdw unaendeleaje na kazi pale?
Nilitaka niandike hicho, at least angekaa na mtu kama wewe na angefungulia biashara ambayo ashurutishwi na mtu.
Portfolio | 2020
Acha ujuaji wa kunisemea. Mimi nimesema sentensi chache, hujaelewa nikakuelekeza wewe unakuja na ujuaji wako wa kuweka maneno yako unayojisikia. Unapinga mawazo yangu unaweza yako kwa jina langu.Uandishi katika public forums ni taaluma mkuu, wewe ulitaka swali lieleweke tofauti na ulivyoandika hivyo haya maswali hayataisha!
Kuuliza 'anatumia hiyo simu kwa malengo gani' kunaleta utata kuwa ama hujafurahishwa na huyo dogo kutumia simu ya marehemu / ama huyo dogo anafanya jambo baya sana kutumia simu ya marehemu / ama una wasi wasi na mmiliki wa simu kuwa hajafa na anaendelea na matumizi ya simu!
Then mwishoni ulipoonyesha kuwa nawe ulishatumia simu ya marehemu ndipo watu wanapata hasira kwa sababu Kiafrika malengo ni yale yale ya kutoa taarifa kwa marafiki wataopiga hiyo simu (Kama hivi imesaidia nasi tukapata/ kutrace madeni/ ana family ingine/ miradi na n.k). Iweje ushatumia simu ya marehemu halafu unauliza malengo? wewe ulitumia kwa malengo yepi? ulitumia muda wa miezi miwili then unashangaa mwenzio kutumia kwa mwezi tuu?
Tujitahidi kuweka maandishi kadiri tunavyowaza ili ujumbe tunaodhamiria ufike bila utata!
Asante Kiongozi, mm kbl ya kujidedisha nilifikiria Mara 2 km kifo ni suluhisho la matatizo nikaamua kutulia kuvumilia tu. Maana mwaka huo huo niliugua kifua kikuu nakuacha Shule kbl ya kuanza kidato Cha sita, na ndo ikawa Mara ya mwisho kusoma advance. Chuo nilipt ufadhili wa kusomeshwa km mtoto yatima ilhali wazazi wapo+ ndugu kibao ila nashukuru nilimaliza salama na kuambulia ajira za serikali
Jf member wengi wanavunja moyo sana niliomba ushauri safari 2 nyuma unaambulia kudhihakiwaAjabu sana, mie alipofariki baba yangu ndani ya mwezi ule ule hata wiki ya tatu haikufika nikawambia wadogo zangu waitupe laini na ile simu waiuze ikiwezekana ili kuondoa trace za kumbu kumbu maana watu wasiokuwa na taarifa wanaweza endelea mpigia wakijua labda bado yupo hai. Ila kijana huyu ni mdogo sana kwa umri, alikuwa na ndoto zake lakini maneno ya kejeli na kuvunja moyo huenda yakawa ndio sababu kubwa ya kufikia kufanya maamuzi hayo.
Happy dude [emoji67][emoji538]
Acha ujuaji wa kunisemea. Mimi nimesema sentensi chache, hujaelewa nikakuelekeza wewe unakuja na ujuaji wako wa kuweka maneno yako unayojisikia. Unapinga mawazo yangu unaweza yako kwa jina langu.
Yani nishangae kitu nilichofanya? Tena nimefanya kwa miezi miwili yeye kafanya kwa mwezi mmoja. Unashindwa kuelewa kitu kidogo na maelezo ya ziada sasa mambo magumu utayaelewaje.
Namkumbuka huyo mzee !!!Alikuwa anaeleweka Sana!!(Tamb z a)!??
Hapa ndio mzuka unapokata kbsaaa...
Half humu kuna wanarudisha jezi kimya kimya sisi hatujui tunadhani ni U bussy, kumbe Mchwa wanafanya yaoo....
Wote wapumzike kwa amani....
Huyu nae tuwe nae karibuu
Watu wote mliojiua nikawasema vibaya naomba mnisamehe sana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ndugu zangu naomba kusamehewa sana juu ya ndugu zetu waliojiua ambao mimi nilikuwa nawakejeli sana na kuwaona kama wajinga. Kumbe walikuwa wako sahihi kabisa. Kuna mambo magumu sana ambayo wanadamu tunapitia mpaka unabaki unashangaa hakuna hata...www.jamiiforums.com
Sijawah waza hizi mambo kbsa....
lkn sasa inatishaaaa.....
Mwezi uliyopita classmet wangu nae kajimaliza...
alinitumia tu msg usiku
'.......kwaheri rafk yangu,'.
Asubuh naona msg kupga hapatkani...
Nikajua kaenda mbele kwa trump maana week tatu kabla safar yake ilikua imeiva........
Mchana Dada yake ananipgia simu....
'Wewe ni rafiki wa ......?' nikamwambia 'ndio'
Akaniambia 'hatunaye tena, kajipumzisha mwenyewe'
Nilipigwa ganzi na butwaa moja hatar nilijikuta simu ipo miguuni huku bd ipo hewani...
Kwa yale mawazo ile siku sikutaka hata kuvuka barabara kubwa kbsaaa.....
Sijui nn kilimpataa ghalfa(Sitaki kuamini km ni Majibu ya Vipimo vya HIV ili aende mbele)... nakat Alipata dili moja kali sana la kwenda huko...
Watu wanatembea na sumuuuu......
Tuwe makini na lugha zetu kwa yyt yule....
Haya masuala ya kujutia lugha, mioyo yetu migumu na matendo yetu kwao baada ya tukio NIKUJITAKIA...
Spread love to every creature on your way.....
it might pay you or save them some days...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hii statement hemb igeuzie kwakoo....
Ni vile ubinadamu tu..mie nilimpromise aje dar tuenjoy wote..akawa ananiambia i wish iw hata tmr .pale kwao wote wlimtenga .yaan kumtenga kbs..wanapika wanakula hawamwiti! Imagine sijui mtoto itakuwaje!
Bdw unaendeleaje na kazi pale?
Angefungua I'd mpya mngedai I'd ya zamani binadamu hamtabiriki. Kwenye moja ya thread zake alitaja majina yake, namba ya simu na jina la chuo alichosoma....mlitaka utambulisho gani mwingine?Mtu mwenye real problem na kama anataka msaada aje na full ID yake sio fake ID ili asaidiwe, maana unaweza kumsaidia shetani.
Kuwe na utaratibu, duniani kufa ni kawaida, ukiwa dhaifu unakufa hiyo ni principle ya life. Kama Mungu angekuwa anajali basi na sisi tungekuwa tunajali habari za kifo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angefungua I'd mpya mngedai I'd ya zamani binadamu hamtabiriki. Kwenye moja ya thread zake alitaja majina yake, namba ya simu na jina la chuo alichosoma....mlitaka utambulisho gani mwingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni neno ...stephot!Huyu marehemu hata mimi alishawahi kunijia pm nikampa mchango wa mawazo ambao alijaribu kufanya alichofanya ingawa response kwa baadhi ya watu wenye nyadhifa zao ilikuwa ni ndogo sana.Hapo ninachokiona ni stress ndio zitakuwa zimemfikisha kwenye hatima ya uhai wake,ukiangalia nyuzi alizokuwa akiziandika ni za kukata tamaa ya kuishi karibu zote.Kwa tuliobaki duniani,tusitumie nguvu sana kuzitumainia akili zetu wenyewe hasa tunapokutana na mambo magumu kuliko tunavyoweza,Mungu yupo na tukimtumainia yeye atatuonyesha njia ya kutokea...
Sent using Jamii Forums mobile app