TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Alifikia High peak of Depression mbaya hakupata mazingira rafiki ya kupunguza hiyo level ya Depression.

Portfolio | 2020


Ni vile ubinadamu tu..mie nilimpromise aje dar tuenjoy wote..akawa ananiambia i wish iw hata tmr .pale kwao wote wlimtenga .yaan kumtenga kbs..wanapika wanakula hawamwiti! Imagine sijui mtoto itakuwaje!
Bdw unaendeleaje na kazi pale?
 
Ni vile ubinadamu tu..mie nilimpromise aje dar tuenjoy wote..akawa ananiambia i wish iw hata tmr .pale kwao wote wlimtenga .yaan kumtenga kbs..wanapika wanakula hawamwiti! Imagine sijui mtoto itakuwaje!
Bdw unaendeleaje na kazi pale?
Nilitaka niandike hicho, at least angekaa na mtu kama wewe na angefungulia biashara ambayo ashurutishwi na mtu.

Portfolio | 2020
 
Nilitaka niandike hicho, at least angekaa na mtu kama wewe na angefungulia biashara ambayo ashurutishwi na mtu.

Portfolio | 2020


Shida kuelewana na mtu...!.ila tunajuta sana kumpoteza yule dogo! Nahisi alifika mwisho kbs! Alikosa msaada wa kuwa karibu na mtu...itaniumiza maisha yangi yote
 
Acha ujuaji wa kunisemea. Mimi nimesema sentensi chache, hujaelewa nikakuelekeza wewe unakuja na ujuaji wako wa kuweka maneno yako unayojisikia. Unapinga mawazo yangu unaweza yako kwa jina langu.
Yani nishangae kitu nilichofanya? Tena nimefanya kwa miezi miwili yeye kafanya kwa mwezi mmoja. Unashindwa kuelewa kitu kidogo na maelezo ya ziada sasa mambo magumu utayaelewaje.
 
Pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Kiongozi, mm kbl ya kujidedisha nilifikiria Mara 2 km kifo ni suluhisho la matatizo nikaamua kutulia kuvumilia tu. Maana mwaka huo huo niliugua kifua kikuu nakuacha Shule kbl ya kuanza kidato Cha sita, na ndo ikawa Mara ya mwisho kusoma advance. Chuo nilipt ufadhili wa kusomeshwa km mtoto yatima ilhali wazazi wapo+ ndugu kibao ila nashukuru nilimaliza salama na kuambulia ajira za serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jf member wengi wanavunja moyo sana niliomba ushauri safari 2 nyuma unaambulia kudhihakiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[

Sasa hapa ndipo umeonyesha kuwa kiwango chako cha umbulula ni cha hali ya juu sana!
 
Nina wasiwasi, kuna watu watazitumia hizi lawama, kuja kuanzisha uzi wa matatizo, wakipata msaada, waende bar.

Sujui tutawezaje kuwa-screen kabla ya kutuma hela.
 

habari inasikitisha ila nimecheka hapo kajipumzisha mwenyewe🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Baba ake anasema he is taking good care of the kid, na two days before the death of his son walizungumza issue ya mtoto shule na akaanzishwa shule.
Ni vile ubinadamu tu..mie nilimpromise aje dar tuenjoy wote..akawa ananiambia i wish iw hata tmr .pale kwao wote wlimtenga .yaan kumtenga kbs..wanapika wanakula hawamwiti! Imagine sijui mtoto itakuwaje!
Bdw unaendeleaje na kazi pale?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angefungua I'd mpya mngedai I'd ya zamani binadamu hamtabiriki. Kwenye moja ya thread zake alitaja majina yake, namba ya simu na jina la chuo alichosoma....mlitaka utambulisho gani mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeumia Sana Sana Sana,,,ilah tatizo liko hapa

Jf inachukuliwa tofauti na Kila member
Kuna wengine wanaona Ni sehemu ya burudani

Wengine wanaona Ni sehemu ya kupotezea muda

Yaani hawaichukulii seriously Kama sehemu unaweza pata msaada wa muhimu,,,

Kwaiyo anapokuja mtu ana tatizo seriously,,watu wanashindwa kuamini, wanaona Ni masiala,,end of the day watu wanaanza kutoa michango kulingana na jinsi wanavyoichukulia JF,,,nimefuatilia nyuzi kadha za marehemu,,nimeumia mno ,,natamani ningeiona hata nyuzi moja kabla marehemu hajachukua uamuzi huo mgumu,,

Anyway,it's too late,,

Nadhani ifike wakati tubadilike kulingana na nyuzi,,ukiona nyuzi ina usiriasi na wewe jaribu kuwa siriasi,,Kama huwezi kua siriasi nenda kwenye nyuzi za masihara,,,

Haya Sasa mwenzetu tayari hayupo Tena, na wengi walimshauri Aina za sumu humu,,wengine wakawa wanauliza kabisa bado hujajiua TU mpaka saizi,,,

Kabisa mtu mziima,msomi ,mwenye familia,great thinker ,unamuuliza mtu"bado hujafa TU"

Mtu anaongea kabisa kuwa tayari ameshafanya several attempts za kujiua ,,,lakini mtu haamini anazidi kumshauri nonesenses

Haya wote mliomshauri Aina za sumu na mliomkumbusha ajiue fanyeni sherehe,mfurahie maana tayari ushauri wenu umefanya kazi

Asante mliotoa ushauri mzuri

Pumzika Kaka mpauko

Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
 
Hili ni neno ...stephot!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…