Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Dah..
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha kweli ni kitu cha kupita; huyu ndugu niliwahi kuwasiliana naye siku za nyuma kupitia Inbox. Nikamtumia mzigo fulani kwa Moneygram lakini akasumbuliwa sana kuupokea mwishowe baada ya zaidi ya mwezi hivi ukanirudia mwenyewe.
Nasikitika kuwa niliplani kutumia tena kwa njia nyingine lakini baadaye tukakosa mawasiliano hadi leo ninaposoma post hii.
View attachment 1369240
Kwa bahati mbaya sikuwahi kusoma threads zake hata siku moja zaidi ya PM tu.
Sent using Jamii Forums mobile app