Maisha kweli ni kitu cha kupita; huyu ndugu niliwahi kuwasiliana naye siku za nyuma kupitia Inbox. Nikamtumia mzigo fulani kwa Moneygram lakini akasumbuliwa sana kuupokea mwishowe baada ya zaidi ya mwezi hivi ukanirudia mwenyewe.
Nasikitika kuwa niliplani kutumia tena kwa njia nyingine lakini baadaye tukakosa mawasiliano hadi leo ninaposoma post hii.
View attachment 1369240
Kwa bahati mbaya sikuwahi kusoma threads zake hata siku moja zaidi ya PM tu.
JF usipokua na Roho ngumu unaweza ukajiua
Mimi nawalaumu mods. Maxence na wengine. Sawa JF ni platform ilitotengenezwa kwa nia nzuri. Ni sehemu ambayo watu wamepewa uhuru wa kujieleza huku ID zao zikibaki anonymous. Dhamira ilikua ni kuendeleza na kukomaza demokrasia.
Shida inakuja hapa mods wanashindwa ku control contents or hawataki na kuamua kupuuzia ilimradi ku maintain "traffik" Kwenye hii site. JF imetoka kwenye motto yao ya "home of great thinkers" imekua "home of bullies".
Humu ndani kuna makundi ya watu wanakua bullied. Celebrities, politicians,Single mothers, wanawake ambao sio bikra, depressed people wanaokuja kuomba ushauri kwa ku take advantage ya anonymity ya JF kwamba hamna anaewajua humu personally hivyo anaweza kueleza shida zake bila fedheha ya aina yoyote. Cha kushangaza ni kua nyuzi na replies za kebehi na bullying mods hawazitilii maanani wao wanakomaa na "matusi tu". Acheni hizo.
I blame his death on moderators. Sijui ku tag ila ningewatag wote. Acheni double standards, hypocrisy na misogynistic behaviour. Jifunzeni kwa Zuckerberg yeye anajitahidi sites zake ziwe bully free.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine single mama yupo mtaani huko ramani hazisomi mume kamkimbia hajui mtoto atamlisha nini anaingia humu ku refresh anakutana na nyuzi za kumkashifu na kumkebehi. JF inaelekea kua mtandao wa ovyo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Kuna watu wanapitia changamoto imagine wakati sisi tukiwaza kuwa na Nyumba au gari zuri Kuna wenzetu mtu amesoma na vyeti anavyo ila hana hata uhakika wa kula...Mimi ni mhanga mkubwa wa hili... Nisingekuwa imara ningepata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha kweli ni kitu cha kupita; huyu ndugu niliwahi kuwasiliana naye siku za nyuma kupitia Inbox. Nikamtumia mzigo fulani kwa Moneygram lakini akasumbuliwa sana kuupokea mwishowe baada ya zaidi ya mwezi hivi ukanirudia mwenyewe.
Nasikitika kuwa niliplani kutumia tena kwa njia nyingine lakini baadaye tukakosa mawasiliano hadi leo ninaposoma post hii.
View attachment 1369240
Kwa bahati mbaya sikuwahi kusoma threads zake hata siku moja zaidi ya PM tu.
Mmh hebu mwacheni mdogo wangu, marehemu amesaidiwa sana na wadau wa hapa na walionyesha kumjali lakini bado amejiua, huyu angetoa msaada gani wa ajabu ambao ungefuta hizo fikra za kujiua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna namba yake moja ya Zantel ile nadhani alikua anawasiliana nami WhatsApp but sina uhakika sana kama ndo yenyewe ambayo iko kwenye baadhi ya moja ya nyuzi zake.
Kwangu ilifutika sababu sikua nimeisave na simu ikafuta messages kabla sijamjibu. Nitajaribu kumtafuta kesho nione ukweli wa hii taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Mimi niliwawakilisha msibani . mpaka kijijini kwao Mufindi alizikwa 26.01.2020. Sikujua kama alikuwa member.View attachment 1369605View attachment 1369606
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi. JF is full of bullies. Yaani hakuna ubinadamu kabisa. Tabia hizi za kutukanana, kukejeliana na kudogoshana zingekuwa zinaishia huko kwenye jukwaa la siasa ingekuwa poa sana. Hawa wanaojitoa mhanga mpaka kuja hapa kuomba msaada mods itabidi waanze kuwa macho na kufuta comments zote zenye ukakasi na kuvunja moyo. Huduma za mambo yanayohusu ubongo bado sana hapa kwetu na mpaka mtu uokote makopo ndiyo watu wanajua kuwa kweli kichwani hauko sawa. Magonjwa kama depression na sijui bipolar utaambiwa kuwa hayo ni magonjwa ya wazungu na matajiri. Na kutukanwa juu...Sad !!!
Nimepitia nyuzi kadhaa za mwana...kumbe ameanza kulalamika siku nyingi juu ya changamoto
Angalizo wana JF tuwe tunatoa ushauri kadri wa uwezo wetu tuache mizaha mingi..sometimes uzi wa mtu unaweza ukawa about life and death...so let things sometimes
Mimi ni mhanga mkubwa wa hili... Nisingekuwa imara ningepata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Mimi niliwawakilisha msibani . mpaka kijijini kwao Mufindi alizikwa 26.01.2020. Sikujua kama alikuwa member.View attachment 1369605View attachment 1369606
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisaikolojia Kuna Kinaitwa Resilience Capability yaani uwezo wa kuhimili changamoto ... Kuna mtu akituanwa anapigana wakati mwingine akitukanwa ndio kwanza anainuka zake anaenda zake bila ugomvi ... Mwingine akaipitia misuko suko kiuchumi anaona sawa kuwa maisha ni kupanda na kushuka ipo siku itakuwa poa ila mwingine wa kesi hiyo hiyo anaweza kuwa mlevi...Ukitoka wewe mie nafuata kaka!..bt sina hata shida aisee! Alafu hao hao wanaokuomb msaada ndo wanaongoza kukubully...!...na mods hawana hata shida! Wamestarehe balaa!..kwa wanawake mm naongoza!
Hapa kweli kuna majuto. Hizi comments wakati akihitaji msaada zinasikitisha. RIP!!!@Mpauko ameondoka.. Hatuishi milele! Lakini je pale alipodhani ni kimbilio sahihi hakujutia kwa aliyokutana nayo? Je wewe u mmoja wao waliomkebehi na kumkejeli au ni mmojawapo uliyempa faraja, tumaini na kumtia moyo?
Mshana Kuna watu wanapitia changamoto imagine wakati sisi tukiwaza kuwa na Nyumba au gari zuri Kuna wenzetu mtu amesoma na vyeti anavyo ila hana hata uhakika wa kula...
Juzi Kuna kijana humu kaja anahitaji kazi ila ujira wake iwe kura na Ni mwanafunzi wa udsm mwaka wa kwanza .... Imagine ...
Sent using Jamii Forums mobile app