chongoe
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,183
- 2,871
Jifunze kwenye maisha usidharau jambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeumia Sana.
Nimekumbuka alishawahi nipm sikujua Kama ni mpauko..kumbe alikuwa akitumia jina la miguu ya kuku.
Nilimjibu baada ya mwezi kupita lakini hakunijibu Tena.
Na Mimi akili ya kufwatilia japo posts zake Sikuwa nayo..laiti ningejua Kama miguu ya kuku ndiye huyo mpauko basi ningefanya bidii zaidi kumtafuta japo kuongea naye.
Mungu nirehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app