Mshana Jr, Natetemeka siamini ninachokisoma..
Mungu pekee anajua ninavojisikia juu ya Robin.
Karibia mwezi mzima namtafuta nijue progress yake then kuna kitu nimeandaa incase alipo( maana lastly alinambia yuko Dar kwa mama mmoja ) hajaanza kuona mwanga nimchukue tuendelee na michakato tuliyoanza anione live nikiendelea nayo apate tumaini.
Baada ya kuwasiliana na kaka mwingine tukagusia issue ya Robin Friday akanambia amefungiwa simu, nikapotezea issue nikijiambia nitamtafuta tena kwa pm Jf au nipige simu mtwara wakanitafutie mawasiliano kwao.
Sijui niandike nini Mimi.
Nina deni kubwa kwa Robin.
Process ya kushughulikia suala lake kuanzia tamisemi mpaka wizarani imekuwa too slow..
Aaahhhh Mungu wangu na Baba yangu!!!
Wacha nishukuru tu sina naweza sema kwa usahihi.
Sent using
Jamii Forums mobile app