GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Kwa hiyo leo ndio umejua! au umeamua kufukua.Nimesikitika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo leo ndio umejua! au umeamua kufukua.Nimesikitika sana
Wewe hujawahi kwenda kwa mganga?Aliyenihuzunisha ni Warumi. Alikuwa mshirikina na anagawa number za waganga kwa wana JF. Anyway.. huwenda alitubu kabla ya kifo
Tangu nizaliwe. Naamini pia nilipokuwa kichanga sikupelekwa coz wazazi wangu walikuwa wachaMungu sana.Wewe hujawahi kwenda kwa mganga?
Bado upo gizani, uchaguzi wa makanisani watu wanakwenda kwa waganga.Tangu nizaliwe. Naamini pia nilipokuwa kichanga sikupelekwa coz wazazi wangu walikuwa wachaMungu sana.
Duh!Aliyenihuzunisha ni Warumi. Alikuwa mshirikina na anagawa number za waganga kwa wana JF. Anyway.. huwenda alitubu kabla ya kifo
Wewe ndio upo gizani, wapi amesema wazazi wake walikuwa wanaenda kanisani?Bado upo gizani, uchaguzi wa makanisani watu wanakwenda kwa waganga.
Mungu wa wazungu ni yupi?Duh!
Ila tunaamini katika toba, huenda alitubu kwa Mungu wake. Tanzania hii hizi ibada mbili(kuabudu ushirikina na kuabudu Mungu wa wazungu) ndio zinashamiri sana.
Hivi unaelewa hata ulichoandika au unasumbuliwa na hangover?Wewe ndio upo gizani, wapi amesema wazazi wake walikuwa wanaenda kanisani?
Tuna akina mpauko wengi humu tunaishi nao. Bahati mbaya wakishirikisha members humu JF magumu wanayoyapitia, wanaishia kupata kejeli na masimango. Very sad.Nimejikuta nakufikiria usiku huu wa manane mkuu Mpauko
Ni miaka miwili haupo lakini maumivu ya msiba wako kwangu bado ni makali
Mwenyezi Mungu akusamehe dhambi zako,nakuombea kila ninapokukumbuka
Endelea kupumzika kwa amani 🙏
Tuna akina mpauko wengi humu tunaishi nao. Bahati mbaya wakishirikisha members humu JF magumu wanayoyapitia, wanaishia kupata kejeli na masimango. Very sad.
Kama mimi nahitaji kushikwa mkono ila nakosa msaada. Kuna namna nimegota sioni msaada na nawaza mawazo mabaya kwakweli.Sijui nimshirikishe nani anisaidie?Tuna akina mpauko wengi humu tunaishi nao. Bahati mbaya wakishirikisha members humu JF magumu wanayoyapitia, wanaishia kupata kejeli na masimango. Very sad.
wewe ni wa kike ama wa kiume.? Nini kinakusumbua.? Watu wako wa karibu wanajua tatizo lako.? Una utaratibu wa kujichanganya na kuongea na watu.?Kama mimi nahitaji kushikwa mkono ila nakosa msaada. Kuna namna nimegota sioni msaada na nawaza mawazo mabaya kwakweli.Sijui nimshirikishe nani anisaidie?