TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Tunaenda mbali sana wajumbe.....
Uzi umegeuka wa Mashambulizi.....

Nampongeza Sana Elli,
Hakuonesha Hasira...
Hakuonesha temper....
Hakuonesha Panic....

Aliona haina haja ya kulumbana.....
Akaomba msamaha akakubali yaishe....
Yupo huko katulia zake....

Kuomba msamaha au kukubali yaishe haimaanishi.... Kweli umekosea au umeshisndwa....
Ni uungwana tu pale unapoona haina haja.......
Na niwachache wanaoweza hilo......

Kuna watu wanalumbana hapa lkn mpk hapo alipo ana hasira, panic na temper..... hata Keypad haishikiki......hapo

Sasa unagombana na ma ID Si ndio kujiongezea Ma stress ya nje nje.......
Mwishowe na wewe Unaletewa habari za TANZIA hapa....!

Mda mwingne tunasema R.I.P kwa mazoea, kinafki au tamaduni tu sbb ni marehemu....
Ila kuna marehemu wengne walikua wanazingua.....

Stress nying ni za kujitakia.......
Na Huwezi ukagombana na mtu, mkawekeana vinyongo/visasi ukawa na amani/uhuru 100%, km unahisi hivyo unajidanganya..........







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingine Huyo Hapo.... Wenye kujua namna ya kufanya follow up wafanye ili kupima magnitude ya tatizo ili apewe msaada...

NB: Guys msaada Sio pesa tu Kuna mtu alikuja humu majuzi akasema anahitaji kibarua chochote malipo iwe Mlo ili aishi tu kutokana na ugumu wa maisha (nimeshindwa kuupata Uzi ili niuweke Kama reference msome)....


Kuna level ya matatizo mtu anakuwa ameshaathirika kisaikolojia hata Kama akisaidiwa Kama msaada wa kisaikolojia utaachwa nyuma Huyo mtu tunaweza mpoteza ... Nowdays suicidal cases Tanzania zinaongezeka mno sababu kubwa Ni tunaamini usululuhishwaji wa changamoto ni kumpa mtu pesa tu Basi.



Onyo najua Kuna vibaka wengi watatumia huu mwanya kuingia humu. Tuweni wajanja ... This is a home of great Thinkers ... Marehemu kwenye kuomba Ada aliweka mpaka barua ya Halmshaur ya mtwara ikimtambulisha kuwa achangiwe. Alitoa mpaka jina na chuo kilipo watu wakathibishe changamoto zake... Na alitaka watu wachukue mpaka mawasiliano ya mkuu wa chuo wakaongee nae kuhusu changamoto zake. Lakini Kuna members humu wajiongozwa na YEHODAYA waliendelea kumuita ni tapeli ...


Hivi nakujiita Great Thinkers Hakuna members mtwara wangeweza kutika kwa mkuu wa wilaya kuulizia hili ? Pale Singida Hakuna members wangefika chuoni kwake kuulizia uhalali wa anachodai mwenzetu ... He was bullied ....


Hata Maxence Mello Alishindwa ku-indorse Tangazo la Kijana mwenzetu ili achangiwe ....


Jamii forum ina watu wa kila aina na kila kada , Jamii forum jitahidini mnavyoweza kushughulikia na muanzishe kitengo Cha mambo ya kijamii... Kazi yake ni kufanya assessment kwa wenye mahitaji na kuthibitisha uhalali wa case. Nyie mna network nchi nzima hamshindwi kuwasiliana hata na mkuu wa wilaya atume maafisa ustawi wafuatilie suala mnalotaka kuthibitishiwa hii itafanya kupata watu halali wanaopaswa kusaidiwa maana tunatumia Fake IDs.

Tangu mwaka Jana huyu kwangu ni mtu wa tano anakuja kuomba msaada nasikia kafa kiutani utani.





View attachment 1369297

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe jamaa unaongea ukweli mno, please unaumiza watu.

Very sad
 
Maisha kweli ni kitu cha kupita; huyu ndugu niliwahi kuwasiliana naye siku za nyuma kupitia Inbox. Nikamtumia mzigo fulani kwa Moneygram lakini akasumbuliwa sana kuupokea mwishowe baada ya zaidi ya mwezi hivi ukanirudia mwenyewe.

Nasikitika kuwa niliplani kutumia tena kwa njia nyingine lakini baadaye tukakosa mawasiliano hadi leo ninaposoma post hii.

View attachment 1369240

Kwa bahati mbaya sikuwahi kusoma threads zake hata siku moja zaidi ya PM tu.

Oh Mungu amrehemu Robin Miho[emoji1431][emoji1431]
 
Hii sredi imegeuka kuwa uwanja wa ngumi na kutupiana lawama.

Everybody got tale to tell...!! Wakuu acheni hizo, sio poa.

-Kaveli-
 
Hahahahaa hutakiwi kugombana na watoto, tunatakiwa kuwasaidia tu. Mungu awasadie
Tunaenda mbali sana wajumbe.....
Uzi umegeuka wa Mashambulizi.....

Nampongeza Sana Elli,
Hakuonesha Hasira...
Hakuonesha temper....
Hakuonesha Panic....

Aliona haina haja ya kulumbana.....
Akaomba msamaha akakubali yaishe....
Yupo huko katulia zake....

Kuomba msamaha au kukubali yaishe haimaanishi.... Kweli umekosea au umeshisndwa....
Ni uungwana tu pale unapoona haina haja.......
Na niwachache wanaoweza hilo......

Kuna watu wanalumbana hapa lkn mpk hapo alipo ana hasira, panic na temper..... hata Keypad haishikiki......hapo

Sasa unagombana na ma ID Si ndio kujiongezea Ma stress ya nje nje.......
Mwishowe na wewe Unaletewa habari za TANZI hapa....!

Mda mwingne tunasema R.I.P kwa mazoea, kinafki au tamaduni tu sbb ni marehemu....
Ila kuna marehemu wengne walikua wanazingua.....

Stress nying ni za kujitakia.......
Na Huwezi ukagombana na mtu, mkawekeana vinyongo/visasi ukawa na amani/uhuru 100%, km unahisi hivyo unajidanganya..........







Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wana tafta public sympathy nyuma ya ID fake ..kwani si mtulie tu uko juu nan ana wajua wajinga nyinyi [emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepitia comments zote nikarudi hapa.
Kwanza pole sana.
Pili dogo anasema hajakutaja wewe kwenye utapeli. Ila tuachane nayo.

Unajua dear wewe ambacho pengine kinaweza kikawa ni adui yako na haujakigundua ni 'kuongea too much", na ku promise vitu public sana. Jitahidi kupunguza. Ongea kidogo tena sana wala hautaona haya maneno yanakufuata.

Unajua tatizo la mtu anayeongea au kama sio kuandika sana? Huwa hapati muda wa kutafakari anachotaka kuandika na kujua baadae kitakuwa na madhara gani kwa mtu. Unakumbuka ile issue ya yule dogo?, unamwona tena jf?. Ni matokeo yako ya kuandika sana ukiona unamsaidia mtu kumbe unamchafulia sifa yake. Tuachane nayo.

Yawezekana huyu dogo ulimpromise sana, ukampa matumaini ya juu. (Niliona ule uzi ulikuwa unapromise haswa na kusema umewasaidia wengi, hata kwenye huu Uzi nimeona unasema yaani unasaidiaga hadi hubby ako anakumind). Sasa kwa maneno kama yale pengine dogo aliweka matumaini makubwa kwako, na watu waliokuwa kwenye zile nyuzi wengi tuliamini hautamwacha dogo hivi hivi. Sasa kama alikuwa na matumaini yote hayo na mwisho wa siku hakuambulia hata 10,000 unafikiria nini? Lazima ajione unajimwambafy public tuu.

Kuepuka maneno, epuka kuandika sana bila kujua madhara ya unachokiandika baadae. Epuka pia kutoa promise hadharani kwamba utamsaidia mtu kabla haujamsaidia. Hauwezi kujua ni wangapi waliacha kusaidia wakijua "pedeshee" Manengelo atasaidia.

Huu ni ushauri wangu wala hauna chuki yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
I'm pretty damn sure you have spoken the truth. Pia najiuliza kama huyu Manengelo kwa mujibu wa maandishi yake hapa kasema alikuwa kawasiliana na watu kadhaa na wakawa wamemhakikishia kwamba wangeshiriki kwenye uchangiaji how comes kwamba wote kwa pamoja walipata dharura na kwa wakati mmoja na hivyo kupelekea kushindwa kuchangia? Mmoja mtoto wake sijui kavunjika mguu, mwingine akafiwa na kwenda Mwanza na wengine sijui ikawaje. Was it purely a coincidence or just an envisaged lie?

Muhimu ni kwamba tujitahidi kuepuka kutoa ahadi lukuki wakati ambapo hatuna uhakika wa kuzitimiza hizo ahadi na pia ikiwezekana tupunguze matangazo ya "moja kwa moja" ya misaada tuliyotoa kwa wahitaji wa hapa JF au ahadi za misaada tutakayotoa ili isionekane kwamba tunafanya hivyo ili kutafuta kaumaarufu fulani hapa JF.
 
Amefariki mkuu, huyu marehemu bwana hakuaminika na watu tangu kipindi cha changamoto zake daah! Kuna kundi flani nilikua nae kuna siku anaomba msaada jamaa mmoja akamwambia tutumie picha tuone kama upo hosptal kweli[emoji2211]
swali zuri kamishna wa upelelezi! MIMI NASEMA KABADILI ID

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I'm pretty damn sure you have spoken the truth. Pia najiuliza kama huyu Manengelo kwa mujibu wa maandishi yake hapa kasema alikuwa kawasiliana na watu kadhaa na wakawa wamemhakikishia kwamba wangeshiriki kwenye uchangiaji how comes kwamba wote kwa pamoja walipata dharura na kwa wakati mmoja na hivyo kupelekea kushindwa kuchangia? Mmoja mtoto wake sijui kavunjika mguu, mwingine akafiwa na kwenda Mwanza na wengine sijui ikawaje. Was it purely a coincidence or just an envisaged lie?

Muhimu ni kwamba tujitahidi kuepuka kutoa ahadi lukuki wakati ambapo hatuna uhakika wa kuzitimiza hizo ahadi na pia ikiwezekana tupunguze matangazo ya "moja kwa moja" ya misaada tuliyotoa kwa wahitaji wa hapa JF au ahadi za misaada tutakayotoa ili isionekane kwamba tunafanya hivyo ili kutafuta kaumaarufu fulani hapa JF.
Na pia sioni haja ya kuwa na mchangishaji/mhamasishaji. Mtu kaomba msaada, atoe njia ya kufikishiwa huo msaada moja kwa moja na sio kupitia mtu baki. Hatujuani hapa kwa njia yoyote. Lawama kama hizi zitaepukwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amefariki mkuu, huyu marehemu bwana hakuaminika na watu tangu kipindi cha changamoto zake daah! Kuna kundi flani nilikua nae kuna siku anaomba msaada jamaa mmoja akamwambia tutumie picha tuone kama upo hosptal kweli[emoji2211]

Sent using Jamii Forums mobile app

INAONEKANA KUWA ALIKUWA DISAPPOINTED SANA WAKATI WA UHAI WAKE. NA INAONEKANA HAPAKUWA NA ALIYEMJALI HATA RAFIKI KARIBU! MUNGU AMSAMEHE KWA KUCHUKUA UHAI MWENYE
 
Dogo kuwa mkweli, ukisema ukiongea na hawa watu, mimi na wewe tuliwahi kuongea chochote? Tuliwahi kuwasiliana popote? Hizi screenshots unasema eti unazo, wapi umezitoa!?? Mimi nimeweka ushahidi wa mawasiliano yangu na Max je Uzi wako ulirudishwa baada ya wewe kuongea na Max au mimi? Kumbuka, Nina muda mrefu hapa na kama kuna MTU niliwahi kumtapeli hata senti ajitokeze hapa. Sijawahi kubadili hata ID since 2008, why nije nikutapeli wewe???? Binadamu ....
Mmh sijaelewa picha vizuri ila poleni wote mliokumbwa na kadhia hii... Tusameheane bure na kwenye funzo tujifunze.

Ila kubwa zaidi tusichoke kutenda mema maana tutavuna kwa wakati tusioujua.

Na mwisho kabisa jua tu nimekumiss wewe mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh sijaelewa picha vizuri ila poleni wote mliokumbwa na kadhia hii... Tusameheane bure na kwenye funzo tujifunze.

Ila kubwa zaidi tusichoke kutenda mema maana tutavuna kwa wakati tusioujua.

Na mwisho kabisa jua tu nimekumiss wewe mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi rafiki ulikimbilia wapi?/hebu rudi haya maisha magumu tusaidiane wote, asikimbie MTU! Uko ulimwengu huu huu au Shemeji alichukua simu??
 
Back
Top Bottom