TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Embu nitajie mtu hata mmoja aliyewahi kusaidiwa na Manengelo.

Ila ww kama unaoenda amani ya nafsi yako basi nakuomba uniambie wangap walichanga then nikulipe leo hii!
Kumbe kuna mambo mengi yanakusumbia moyoni mwako...! Eti kila mishe nimefanya...! Sasa hata km nadanganya unahis nafaidika na nn?...unadhan mie ndo wakuletewa hela za matumizi! Bora ujoin tu ! Acha hasira zisizo na maana!... Ila nakupa pole!...
 
Mkuu, kwanza sitaki nieleweke vibaya kwa watu kwamba nina kutetea. Lakini mimi sikuzote huwa nasimamia kile ninacho kiamini, hii haijalishi hata kama kuna mtu ataumia kutokana na msimamo wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Huwezi nitetea..mi mwenyew sitaki kutetewa...ukijiamini mwenyewe ni kinga kubwa sana maishani!
Nna bahati ya kujiamini mwenyewe!
 
Shida haipo kwa kijana.. ipo kwenu.
ukimsaidia mtu lazima useme humu?
Tenda wema nenda zako nyie mnaelewa vipi?
Wapo watu wanatoa misaada mikubwa. Huwezi kuta anakaa anasema kua nimemsaidia kitu fulani..Biblia inasema ukitoa sadaka mkono wa kushoto usijue! Nyie mwafanya hivo?
Sio kila mtu lazima ajue kua mnatoa misaada, Toeni yabaki ndani ya mioyo yenu!

Ukisoma huu uzi mwanzo mwisho unaona kila mtu anasema jinsi anavyosaidia/alivyosaidia..msaada hautangazwi. Kuna mtu namjua kamsaidia sana huyo Robin pesa mingi sana ila hata kuja kwenye huu uzi hajaja. Hua anasaidia wengi sana humu ila huwezi muona akiongea kitu kwasababu anajua Definition and how ya kutoa Sadaka/msaada
Umenena vizuri Sana mkuu
 
Kijana ebu acha kuwapotosha watu humu. Ebu usilazimishe kufanya kusaidiwa iwe wajibu, and niliwahi kusema hapa mara kadhaa kwamba "unapenda sana kulalamika" na kulazimisha usaidiwe kili ambacho wewe ndie unataka, yaani anae kusaidia afuate vile unataka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Washirika mnateteana.
 
Ila ww kama unaoenda amani ya nafsi yako basi nakuomba uniambie wangap walichanga then nikulipe leo hii!
Kumbe kuna mambo mengi yanakusumbia moyoni mwako...! Eti kila mishe nimefanya...! Sasa hata km nadanganya unahis nafaidika na nn?...unadhan mie ndo wakuletewa hela za matumizi! Bora ujoin tu ! Acha hasira zisizo na maana!... Ila nakupa pole!...
Endelea na maisha yako amani itawale.

Ujumbe nimefikisha wenye kusikia na wasikie.
 
Mimi mwenyewe nimehudhuria sana pale CCBRT Msasani lakini naona kama nimepoteza hela yangu tu.
Yaani kila ikifika leo, ya jana afadhali.
Tatizo kila siku linakuwa.
Udogoni nilikuwa nasikia fresh tu.
Ila navyozidi kukua ndio tatizo linapanuka.
Hakuna hata ndugu mmoja anayenipigia simu zaidi ya kuchati kupitia sms.

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pm
Nimepitia hayo yoote . Nina habari njema kwaajiri yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom