Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hapa amewahi kunisaidia, si mara moja amenitumia hela ya kula na kuna wakati niliwahi kumuomba anikopeshe kiasi fulani cha pesa alinikopesha bila hiyana licha ya kwamba hatujawahi hata kuonana, yaani aliniamini tu kama member mwenzie...wangapi wanaweza kufanya hivyo?Embu nitajie mtu hata mmoja aliyewahi kusaidiwa na Manengelo.
HakikaTunaishi kwenye Jamii ya ajabu sana Khantwe , Tusipende kuwakatisha moyo wale wanaojitolea kwa ajiri ya wengine. Mane+Elli na wengine Mungu awaongezee, Maana mnachofanya ni ibada.
Ni wakina nani hao..??Kuna watu humu walitumia matatizo yangu for their own advantages.
Ofcourse mm sikia naamini km kweli dogo kafa...nikajikuta nasoma txt zake ..nadhan ni moja ya kuomboleza...maana amafanya tukio diku kadhaa kbs kuwasiliana na watu humu...! Sijawah ht andika sehem mpaukp nimempa hata ten..tena kwenye uzi wa kuchangiwq ile form mm sijawah ht comment maana nilishamalizana nae...! Iweje leo iwe hv eti oh tunajitangaza? Marehem mwenyew kumbe alikua annitaja huko..huyu alubati mm hata sijawah wasiliana naye ht siku moja..lakini ameeema yy mwenyew imekuwa kesi...mwe ngoja tukinge maji ya mvua sie!
Pole sana mkuuHili ndiyo tatizo lililonipata,na nimeambiwa hivyo hivyo nerves za zimekauka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hapa amewahi kunisaidia, si mara moja amenitumia hela ya kula na kuna wakati niliwahi kumuomba anikopeshe kiasi fulani cha pesa alinikopesha bila hiyana licha ya kwamba hatujawahi hata kuonana, yaani aliniamini tu kama member mwenzie...wangapi wanaweza kufanya hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana ebu acha kuwapotosha watu humu. Ebu usilazimishe kufanya kusaidiwa iwe wajibu, and niliwahi kusema hapa mara kadhaa kwamba "unapenda sana kulalamika" na kulazimisha usaidiwe kili ambacho wewe ndie unataka, yaani anae kusaidia afuate vile unataka wewe.Huyo Elli hana shida, ila kuambatana na Manengelo ndo kuna mchafua , hanaga maneno mengi huyo .
Dada nakuomba tu uyaache
Mm naumia kweli kuona yanayoendelea ili hali ulifanya nafasi yako na wanaokusema wala hawajashiriki chochote kile
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hapa amewahi kunisaidia, si mara moja amenitumia hela ya kula na kuna wakati niliwahi kumuomba anikopeshe kiasi fulani cha pesa alinikopesha bila hiyana licha ya kwamba hatujawahi hata kuonana, yaani aliniamini tu kama member mwenzie...wangapi wanaweza kufanya hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana ebu acha kuwapotosha watu humu. Ebu usilazimishe kufanya kusaidiwa iwe wajibu, and niliwahi kusema hapa mara kadhaa kwamba "unapenda sana kulalamika" na kulazimisha usaidiwe kili ambacho wewe ndie unataka, yaani anae kusaidia afuate vile unataka wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ndio unakumbuka shuka wakati kulisha pambazukaNi muhim sana kuzithibitisha taarifa hizi kabla ya kuzi publish.
Mkuu, kwanza sitaki nieleweke vibaya kwa watu kwamba nina kutetea. Lakini mimi sikuzote huwa nasimamia kile ninacho kiamini, hii haijalishi hata kama kuna mtu ataumia kutokana na msimamo wangu.Kuna siku nilikusema sana km unakumbika ila nimeelewa mm leo hii! Sitakupinga tena