TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Embu nitajie mtu hata mmoja aliyewahi kusaidiwa na Manengelo.
Mimi hapa amewahi kunisaidia, si mara moja amenitumia hela ya kula na kuna wakati niliwahi kumuomba anikopeshe kiasi fulani cha pesa alinikopesha bila hiyana licha ya kwamba hatujawahi hata kuonana, yaani aliniamini tu kama member mwenzie...wangapi wanaweza kufanya hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada nakuomba tu uyaache
Mm naumia kweli kuona yanayoendelea ili hali ulifanya nafasi yako na wanaokusema wala hawajashiriki chochote kile
Ofcourse mm sikia naamini km kweli dogo kafa...nikajikuta nasoma txt zake ..nadhan ni moja ya kuomboleza...maana amafanya tukio diku kadhaa kbs kuwasiliana na watu humu...! Sijawah ht andika sehem mpaukp nimempa hata ten..tena kwenye uzi wa kuchangiwq ile form mm sijawah ht comment maana nilishamalizana nae...! Iweje leo iwe hv eti oh tunajitangaza? Marehem mwenyew kumbe alikua annitaja huko..huyu alubati mm hata sijawah wasiliana naye ht siku moja..lakini ameeema yy mwenyew imekuwa kesi...mwe ngoja tukinge maji ya mvua sie!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante dada kuniokoa manake nilikuwa naelekea kusutwa mie.
Mimi hapa amewahi kunisaidia, si mara moja amenitumia hela ya kula na kuna wakati niliwahi kumuomba anikopeshe kiasi fulani cha pesa alinikopesha bila hiyana licha ya kwamba hatujawahi hata kuonana, yaani aliniamini tu kama member mwenzie...wangapi wanaweza kufanya hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Elli hana shida, ila kuambatana na Manengelo ndo kuna mchafua , hanaga maneno mengi huyo .
Kijana ebu acha kuwapotosha watu humu. Ebu usilazimishe kufanya kusaidiwa iwe wajibu, and niliwahi kusema hapa mara kadhaa kwamba "unapenda sana kulalamika" na kulazimisha usaidiwe kili ambacho wewe ndie unataka, yaani anae kusaidia afuate vile unataka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hapa amewahi kunisaidia, si mara moja amenitumia hela ya kula na kuna wakati niliwahi kumuomba anikopeshe kiasi fulani cha pesa alinikopesha bila hiyana licha ya kwamba hatujawahi hata kuonana, yaani aliniamini tu kama member mwenzie...wangapi wanaweza kufanya hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app


Unakosea sana!...narudia tena mkinga ww unakosea.. Ya nn kuweka hapa?...ili imponye nan?...segito wewe
 
Kijana ebu acha kuwapotosha watu humu. Ebu usilazimishe kufanya kusaidiwa iwe wajibu, and niliwahi kusema hapa mara kadhaa kwamba "unapenda sana kulalamika" na kulazimisha usaidiwe kili ambacho wewe ndie unataka, yaani anae kusaidia afuate vile unataka wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna siku nilikusema sana kama unakumbika ila nimeelewa mimi leo hii! Sitakupinga tena
 
Back
Top Bottom