TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Nadhani ni ile hali yake!...ila ametukosea sana jaman...Robin wewe hadi wanangu walikuchangia[emoji24][emoji24][emoji24]ukaandika majinayao kwa form yako...! Mm toka jana siwez fanya kitu! Najitahid nilewe labda nitalala!...arghh! Rip
Anasema hajawahi kumsaidia mtu kisha akamtangaza.

Oneni hapa sasa.
 
Sawa mkuu....! Nimekuelewa!...
Una moyo wa kutoa..
ila hujajua kanuni za utoaji, ukijua pepo itakua yako!
Inawezekana wafanya hivo ili ku-motivate wengine wafanye mema, ila kwa Mungu unakua hujafanya kitu. Kwake ataona ni kama show off asizozipenda Alikiba.
Endelea kutoa msaada, ila zima kamera pindi utoapo..I mean say nothing about your Good side.
That's what I always do! And so Do Others
CC.
Blaki Womani
 
Una moyo wa kutoa..
ila hujajua kanuni za utoaji, ukijua pepo itakua yako!
Inawezekana wafanya hivo ili ku-motivate wengine wafanye mema, ila kwa Mungu unakua hujafanya kitu. Kwake ataona ni kama show off asizozipenda Alikiba.
Endelea kutoa msaada, ila zima kamera pindi utoapo..I mean say nothing about your Good side.
That's what I always do! And so Do Others
I second you.
 
Una moyo wa kutoa..
ila hujajua kanuni za utoaji, ukijua pepo itakua yako!
Inawezekana wafanya hivo ili ku-motivate wengine wafanye mema, ila kwa Mungu unakua hujafanya kitu. Kwake ataona ni kama show off asizozipenda Alikiba.
Endelea kutoa msaada, ila zima kamera pindi utoapo..I mean say nothing about your Good side.
That's what I always do! And so Do Others
Kuna points nimejibebea hapo ,na nimejifunza kitu
Kuanzia juu hata hii pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu jf wengi wetu hatuchangi hatusaidii jambo mpaka mtu aone fulani au asikie fulani kathibitisha.
Nina ushuhuda katika hilo.
Sasa inapotokea tatizo fulani akaweka nguvu na msisitizo wengi watasaidia au kuchanga.
Manengelo ni mmojawapo amini nakuambia hata hao ambao hawajaja hapa kusema walivyosaidia nauhakika baadhi yao walisaidia Robin au yoyote ni kwa sababu wameona au wamepata uthibitisho kwa any reputable I'd.
So manengelo unacho fanya ni sahihi usiache inawapa nguvu watu wengi wasaidie.
Nimesoma pia alindika kuna mkaka yupo China aliahidi kusaidia hela za Naja naja only baada ya kuthibitishiwa na manengelo.
Tukubali tukatae kuna I'd zinaushawishi na kuna I'd ambazo hata nje ya jf zinafahamika sana.
Hayo mambo ya mkono wa kushoto wa kulia ya kiimani tu muhimu mtu asaidike.
Sasa yule aliyekuwa ana mobilise watu wa change wakaingia mitini leo hii anaonekana mbaya?
Muwe na kiasi jamani.
Shida haipo kwa kijana.. ipo kwenu.
ukimsaidia mtu lazima useme humu?
Tenda wema nenda zako nyie mnaelewa vipi?
Wapo watu wanatoa misaada mikubwa. Huwezi kuta anakaa anasema kua nimemsaidia kitu fulani..Biblia inasema ukitoa sadaka mkono wa kushoto usijue! Nyie mwafanya hivo?
Sio kila mtu lazima ajue kua mnatoa misaada, Toeni yabaki ndani ya mioyo yenu!

Ukisoma huu uzi mwanzo mwisho unaona kila mtu anasema jinsi anavyosaidia/alivyosaidia..msaada hautangazwi. Kuna mtu namjua kamsaidia sana huyo Robin pesa mingi sana ila hata kuja kwenye huu uzi hajaja. Hua anasaidia wengi sana humu ila huwezi muona akiongea kitu kwasababu anajua Definition and how ya kutoa Sadaka/msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mm nilikuelewa..ila point yangu kuu nilitaka kukumbusha tu kua Ukitoa kitu piga kimya..
Onapotoa kitu ukakaa kimya unakua umejijengea hazina kwa Mungu, ila ukiwatangazia watu humu unakua umejichumia hazina ya kusifiwa tu humu kwamba fulani ni mtoaji ila kwa Mungu unakua umepata Sifuri!

Usiongee wema wako ili upendwe, Tenda mema kwa watu wanajua wewe sio mwema! Watakupenda!
Hahahaah sijawahi tangaza popote pale, hata hapa sijatangaza ila illikua tu kuweka records vizuri. Ndio maana nikasema sitaonggea tena! Wewe si unakumbuka tulikutana Maili moja? Unakumbuka? Tuyaache nimeomba msamaha kwa Dogo.
 
Humu jf wengi wetu hatuchangi hatusaidii jambo mpaka mtu aone fulani au asikie fulani kathibitisha.
Nina ushuhuda katika hilo.
Sasa inapotokea tatizo fulani akaweka nguvu na msisitizo wengi watasaidia au kuchanga.
Manengelo ni mmojawapo amini nakuambia hata hao ambao hawajaja hapa kusema walivyosaidia nauhakika baadhi yao walisaidia Robin au yoyote ni kwa sababu wameona au wamepata uthibitisho kwa any reputable I'd.
So manengelo unacho fanya ni sahihi usiache inawapa nguvu watu wengi wasaidie.
Nimesoma pia alindika kuna mkaka yupo China aliahidi kusaidia hela za Naja naja only baada ya kuthibitishiwa na manengelo.
Tukubali tukatae kuna I'd zinaushawishi na kuna I'd ambazo hata nje ya jf zinafahamika sana.
Hayo mambo ya mkono wa kushoto wa kulia ya kiimani tu muhimu mtu asaidike.
Sasa yule aliyekuwa ana mobilise watu wa change wakaingia mitini leo hii anaonekana mbaya?
Muwe na kiasi jamani.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli unachosema..
lakini unajua wema hauigwi? Wema upo ndani ya moyo wa mtu! Mtu kama sio mwema hawezi fanya kitu kisa kaona fulani katenda wema! Na kama akifanya hivo kwa Mungu ni sifuri, tunatoa yote hayo sio ili kujipatia sifa au lolote bali kujichumia baraka kwa Mungu!

Toa pale pindi unapokua umeguswa sio kwasababu uneona watu wamethibitisha ana matatizo kweli, kama kweli una nia huna haja usubiri memba wathibitishe...mtafute muhisika mwenyewe!
Watu hufanya hivo ambao nawajua hutoa, wanatoa pindi wameguswa tu! Huyu mtu najua ni mtoaji sana ila kuna kipindi mlemavu anamfata kumuomba ila anamnyima na pesa anayo just sh500.
Ila anakuja kumpatia labda 50k mtu aliyekuja kuomba msaada humu!

So unaweza kuona kua Unatakiwa utoe pindi unapoguswa tu hata kama humjui mtu..ila sio utoe kisa memba fulani wamesema ana shida kweli....Kama wapo kundi moja wanatapeli? Washajua fulani anaaminika akisema kitu humu...

Endeleeni kusambaza wema na upendo
 
Na hayo mambo yenu ya Kusema msaada sijui mbinguni sijui Mungu atalipa sijui pepo.
Mnawabagua wasiokuwa na dini, dini za wengine haziamini hizo, dini zingine wanaabudu mizimu.
Wengine hata hawajielewi kama kuna Mungu au life after death.

Amini naawaambia kutoa ni moyo wa mtu si suala la dini, kuna watu hawana hata dini ne pengine hoja za uwepo wa Mungu au la wao ndo vinara huonekana kama masgetani lakini husaidia sana wahitaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawaongelea je wale ambao wanasaidi lakini hawa mini uwepo wa Mungu? Je tu nasaidia kwa ajili ya Baraka za Mungu tu au kwa sababu kuokooa mtu au tatizo fulani?
Ni kweli unachosema..
lakini unajua wema hauigwi? Wema upo ndani ya moyo wa mtu! Mtu kama sio mwema hawezi fanya kitu kisa kaona fulani katenda wema! Na kama akifanya hivo kwa Mungu ni sifuri, tunatoa yote hayo sio ili kujipatia sifa au lolote bali kujichumia baraka kwa Mungu!

Toa pale pindi unapokua umeguswa sio kwasababu uneona watu wamethibitisha ana matatizo kweli, kama kweli una nia huna haja usubiri memba wathibitishe...mtafute muhisika mwenyewe!
Watu hufanya hivo ambao nawajua hutoa, wanatoa pindi wameguswa tu! Huyu mtu najua ni mtoaji sana ila kuna kipindi mlemavu anamfata kumuomba ila anamnyima na pesa anayo just sh500.
Ila anakuja kumpatia labda 50k mtu aliyekuja kuomba msaada humu!

So unaweza kuona kua Unatakiwa utoe pindi unapoguswa tu hata kama humjui mtu..ila sio utoe kisa memba fulani wamesema ana shida kweli....Kama wapo kundi moja wanatapeli? Washajua fulani anaaminika akisema kitu humu...

Endeleeni kusambaza wema na upendo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apumzike kwa Amani mwanajf mwenzetu.

Hii ni mara yangu ya pili kuona mtu amejitoa uhai na alishaleta thread zenye viashiria hivi JF..

Nahisi kuna umuhimu wa kichukulia haya mambo serious sasa hivi, ijapokuwa wako tuu wajinga wachache watakaoleta thread na kutengeneza mazingira kama haya ili hali sio kweli out of JF

Next time, hawa watu waangaliwe kwa namna ingine.

We can save souls next time.
 
Embu Acheni kumsuta dada wa watu!!! Pengine ndo ilikuwa sehemu yake ya kuomboleza?
Ni kama vile ukiuguza mwanao akatoweka wakati wa kulia ukasema "tulimpeleka mpaka India?" hapo utakuwa umetangaza?
Hawa waliokuwa karibu na marehemu amini wameumia sana kuliko mimi na wewe tunaokuja kuwasuta humu.

Muwe na kiasi jamani.
Khaaa
Je kuna kosa mtu ana shida wewe pekee huwezi msaidia ukawashirikisha au ukafanya harambee ili asaidike kuna shida?
That's very normal
Anasema hajawahi kumsaidia mtu kisha akamtangaza.

Oneni hapa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu Acheni kumsuta dada wa watu!!! Pengine ndo ilikuwa sehemu yake ya kuomboleza?
Ni kama vile ukiuguza mwanao akatoweka wakati wa kulia ukasema "tulimpeleka mpaka India?" hapo utakuwa umetangaza?
Hawa waliokuwa karibu na marehemu amini wamemuamia sana kuliko mimi na wewe tunakuja kuwasuta humu.

Muwe na kiasi jamani.
Khaaa
Je kuna kosa mtu ana shida wewe pekee huwezi msaidia ukawashirikisha au ukafanya harambee ili asaidike kuna shida?
That's very normal

Sent using Jamii Forums mobile app


Yaishe ...sasa sijui yule alieweka hapa hela ilivyokwama itakuwaje ...wala hakuna anayetak aonekane zaidi y amtu...ila tunajifuza kutokan na mambo! Niliwahi ambiwa kuna jamaa mmoja humi yy kukuunganisha na kazi ni easy ..ila ndo anachukiwa balaa...! Yaishe tuishi kwa amani
 
Back
Top Bottom