Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JMM ndio nani mkuu?Apumzike kwa amani Mungu amuweke mahali pema peponi Dena Amsi
Tutakukumbuka sana haswa JMM
Siku zote mungu hutenda haki.Mungu amtendee haki!
Mkuu Konda wa bodaboda nilimaanisha jukwaa la Urafiki, mapenzi na Mapendo na sio mtuJMM ndio nani mkuu?
picha yake pseNi habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena Amsi
Mmhhh...!!!kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa ndiyo mkongwe wa picha zetu zile
Sikuhizi kuna kufahamiana kati ya memba huyu na yuleHuwa najiuliza,hivi ni nani anatoa taarifa za msiba wa mwana JF,huwa anajuaje kuwa huyu ni member,maana mimi nikimaliza kuchat tu nasign out.
Au huwa anaacha bila kusign out na ndiyo njia pekee mtu anaweza kuona ID japo bila password.
Mkuu watu wanakulana denda humu!Je inamaana kuna member wanafahamiana live mpaka kumjua mtu personal au nikuaminiana tu?
Kweli msiba mkubwa huu, hadi wewe leo umeonekana? Miss you a lotTumejadili naye mambo mengi sana. Tumeshare jokes nyingi sana. Siwezi kuacha kutoa salam zangu za mwisho kwake