BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Ooh jamani. Rest in peace sweetheart. Nilipenda sana jina lako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama yeye alipokuwa hai hakuweka picha yake halisi sidhani kama ni busara mtu yeyote aweke bila idhini yake.Ukitaka kujua ni ngumu ebu mkuu wewe weka picha yako halisi.RIP Dena.
Wekeni basi picha yake ya kiukweliukweli.
Merry Christmas mpendwa...Ooh jamani. Rest in peace sweetheart. Nilipenda sana jina lako!
Sidhan Kama kuna ubaya wowote ukituwekea pic yake tumtambue mwenzetu aliyetangulia mbele za haki,R.I.P Dena AmsiRIP DA.
Wanaotaka picha yake, itakua ni kuanika utambulisho wake. Picha itapelekea jina na mengine ya binafsi kujulikana.
Kwa kua alitumia ID siku zote na hakuwahi kuweka picha, sio busara kuyaweka hapa.
Binafsi nilimfahamu (hata picha ninayo), ila tuheshimu privacy yake.
Sad to loose a friend.
R.I.P mwana JF Mwenzetu,Tumshukuru Mungu kwa kila Jmabo
mkuu nawe leo umetoka mafichoni...merry Christmas mkuu...Ooh jamani. Rest in peace sweetheart. Nilipenda sana jina lako!
Nadhani kuna members wengine anafahamiana nao so nahisi ndio wanaotoa taarifa HiziHuwa najiuliza,hivi ni nani anatoa taarifa za msiba wa mwana JF,huwa anajuaje kuwa huyu ni member,maana mimi nikimaliza kuchat tu nasign out.
Au huwa anaacha bila kusign out na ndiyo njia pekee mtu anaweza kuona ID japo bila password.
January ntapita Korogwe on the way to ArushaAmen