John L. Mihambo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 526
- 177
RIP DA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amtendee haki!
RIPKuna members huwa tunafahamiana hata kwa hizi fake ID. Binafsi nawafahamu watu kiasi wa humu na huwa tunakuwa wote. so ikitokea tatizo tunakuwa tunajua kabisa...
Dah! Hili kaburi ulilolifukua halifai! Au ndiyo umerudi kutoka jupiter?RIP DA
Kuna members huwa tunafahamiana hata kwa hizi fake ID. Binafsi nawafahamu watu kiasi wa humu na huwa tunakuwa wote. so ikitokea tatizo tunakuwa tunajua kabisa...
Aisee hata mm nawaza hivyoRIP.
Najiuliza siku nikifa nani atawapa taatifa maana hakuna mtu hata mmoja anayenijua.
Mkuu nimeshindwa kujizua aisee, namkumbuka sana huyu Dada na michango yake.Dah! Hili kaburi ulilolifukua halifai! Au ndiyo umerudi kutoka jupiter?
R.I.P Dena...Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena Amsi
==================