Roman Empire
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 620
- 1,418
R.I.P jf member.
MUNG awape moyo mkuu familia ya marehem katika wakati huu mgumu.
Kuweka picha yake hairuhisiwi? Au mambo ya anonymous ID yanaendelea hata kwa tukio hili?
Samahani lakini sina nia mbaya!
Muwe mnasoma heading na tarehe ni muhimu Sana kabla aujaccoment chochote..... Sasa jamaa kafukua kaburi na nyie mnatiririkaaaaaa tuuuuu....Inalillahi wainailahi rajiun