TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Innalillah wainnaliLlah rajiun.

Japo sikiwahi kukufahamu hapa Jf.
Allah akustiri na kukuhifadhi na pia akupunguzie adhabu ya Kabr(Barzakh)
 
Wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki zake poleni sana.

Dena Amsi ana legacy gani hapa jamvini? Anakumbukwa kwa lipi?
 
Natamani sana angekuwa anazisoma hizi msg na condolences zenu kwakweli inauma sana lakini ndo hivyo Mungu keshatoa uamuzi wake tushukuru tu.

Kifupi huyu Dada ndio alini introduce kwenye Jamii Forums maana alikuwa akirudi home atakaa kwenye laptop akisoma na kuchangia huku akicheka saana! Ilinibidi nimsogelee kumuuliza mbona peke yake kucheka na laptop kila akirudi home na sisi kutupa muda mfupi wa maongezi naye?
Ndipo akanionesha jf na akaielekeza namna ya kujiunga.

Dena Amsi yaani jina la Bibi yake mzaa Babaake sio Id aliyoanza nayo humu, alianza na nyingine nimeisahu kwa mshtuko nilio nao juu ya msiba huu, ila ndugu mtabuzi anaweza kunisaidia kukumbusha id ya kwanza ilikuwa ipi.

Tumempumzisha leo yapata saa tisa alaasiri kwenye makaburi mapya Mbweni Dsm.
Sisi ni Wakristu tunaoamini katika uzima wa milele, hivyo tufarijike kwamba mwenzetu kapumzika katika utukufu wa Mungu Baba.
Mkuu Mulama, pole kwa msiba huu. Kwa sisi waumini wa life after life, Dena yupo na anasoma kila tunachoandika, kilichokufa na kuzikwa ni mwili, a physical body, lakini roho, a spiritual body haifi, roho ndio inayokwenda mbinguni au peponi kwenye raha ya milele au jehanum kwenye zawa la moto na mateso ya milele, na kwa majibu wa michango ya Dena Amsi humu jf, japo mimi sio Mungu, ila saa hii tunapoendelea kuchangia uzi huu, roho yake iliishapokelewa mbinguni kwa Baba saa nyingi.

Paskali
Rejea.
Muda mfupi Kabla ya Kukata roho: NINI HUTOKEA? | JamiiForums | The ...
Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina ...
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Miujiza Ya Uponyaji kwa Imani ...
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...

 
Kwa mnaotaka kujua chanzo ni kwamba alikuwa na matatizo ya kisukari tangia akiwa Nairobi, tarehe 24/12 kisukari kilipanda kwa kasi kikachanganya na presha, akakimbizwa zahanati ya karibu lakina hali ikazidi kuwa mbaya, ikabidi apelekwe Hospital ya Rabninsia lakini baada ya muda mchache akakata roho.
Pole sana Mulama ,RIP dada Dena.
 
Natamani sana angekuwa anazisoma hizi msg na condolences zenu kwakweli inauma sana lakini ndo hivyo Mungu keshatoa uamuzi wake tushukuru tu.

Kifupi huyu Dada ndio alini introduce kwenye Jamii Forums maana alikuwa akirudi home atakaa kwenye laptop akisoma na kuchangia huku akicheka saana! Ilinibidi nimsogelee kumuuliza mbona peke yake kucheka na laptop kila akirudi home na sisi kutupa muda mfupi wa maongezi naye?
Ndipo akanionesha jf na akaielekeza namna ya kujiunga.

Dena Amsi yaani jina la Bibi yake mzaa Babaake sio Id aliyoanza nayo humu, alianza na nyingine nimeisahu kwa mshtuko nilio nao juu ya msiba huu, ila ndugu mtabuzi anaweza kunisaidia kukumbusha id ya kwanza ilikuwa ipi.

Tumempumzisha leo yapata saa tisa alaasiri kwenye makaburi mapya Mbweni Dsm.
Sisi ni Wakristu tunaoamini katika uzima wa milele, hivyo tufarijike kwamba mwenzetu kapumzika katika utukufu wa Mungu Baba.
Kuhusu picha,je ni ya kwake au ya bibi yake mzaa baba akiwa kijana?
Kama si yake,unaweza kutuwekea picha yake?huenda ni mtu tuliyekuwa tukimfahamu kabla ya mauti.
 
Wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki zake poleni sana.

Dena Amsi ana legacy gani hapa jamvini? Anakumbukwa kwa lipi?
Ungekua inafatilia sana Jf ungemjuatuu kuwa Jf si kusoma na kutoa mada tuu Bali hata memba unatakiwa kuwafahamu hasa wakongwe
 
Back
Top Bottom