Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!!Nimefurahi kukusoma Eiyer japokuwa ni kuhusiana na tukio la kuhuzunisha.
Aah dada Dena Amsi tulifahamiana kitambo bila kuhusianisha id yake. Nimesikitika mno. Niliweza kushiriki kumsindikiza kwenye safari yake ya milele leo hii.
Lala salama mumie. Amen!
Dah!!Kwa mnaotaka kujua chanzo ni kwamba alikuwa na matatizo ya kisukari tangia akiwa Nairobi, tarehe 24/12 kisukari kilipanda kwa kasi kikachanganya na presha, akakimbizwa zahanati ya karibu lakina hali ikazidi kuwa mbaya, ikabidi apelekwe Hospital ya Rabninsia lakini baada ya muda mchache akakata roho.
Mwanawane nipo sana tu na Rock City sijahama....Hata wewe umepotea sana, nadhani ulishahama rock city....JF nako huonekani kabisa bageshi
Mkuu watu wanafahamiana sana. Ht mm humu nawafahamu watu kibao na nshaonana nao wengi tu na wengine mawasiliano yamekomaa hd tumekuwa km ndg.IRP
ila nauliza kwamba mlimjuaje wakati wana jf hatujuani kwa majina yetu halisi?
Ni Dada mkuu sio kakanjia yetu moja brother tangulia kwa aman na ukafikie unapostahili kwa matendo yako ya enzi za uhai.