kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
R.I.P Dena Amsi
Mungu awape faraja familia yake nasis wana JF katika kipindi hiki kigumu.
Mungu awape faraja familia yake nasis wana JF katika kipindi hiki kigumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mpendwa, ukanikimbiaWhaaaaaat?OMG!
Allah akujaalie kaul thabit Dena [emoji17] [emoji120]
Sikuwahi kuonana na Dena ana kwa ana, lakini kwa kupitia michango yake hapa kwenye majukwaa mbalimbali, ni kuwa tumempoteza mwenzetu mmoja muhimu sana.Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena Amsi
==================
Balaa brother, balaa kubwaKisukari Kisukari
Sawa mkuuTunafahamiana sana mbona? Bila hivyo usingepata hii taarifa