Mwana JF aukwaa uongozi wa watanzania huko Uholanzi

Mwana JF aukwaa uongozi wa watanzania huko Uholanzi

Status
Not open for further replies.
ingekuwa vizuri kama nyie watu wa UK mngemmwambia Mwanaidi awaombe radhi watanzania kwani anatumia pesa za walipa kodi ambao si wanaCCM kufungua matawi ya ccm huko UK. Ametumwa kuliwakilisha taifa na si ccm. Je ufunguzi wa hayo matawi ya ccm huko UK ni moja ya Terms za reference kwa katika majukumu yake kama balozi, na kama ni hivyo basi aencourage na cuf na chadema na vyama vingine vifungue matawi huko to make her sound with more non sense.

Ni muhmu tuwe coherent katika mjadala, tukipandisha mjadala mmoja juu ya mwingine na mwingine tutapotea njia. Hoja yangu ya msingi ni kudenounce lugha ya kwamba kitendo cha kufungua matawi ya CCM nje ya nchi ni upuuzi, this statement is patronizing and statement from Zitto is needed.
Swala la kukaribishwa kwa balozi katika shughuli za ufunguzi wa matawi ni mjadala mwingine ambao naomba kwa sasa nisiuguse.
 
Ni muhmu tuwe coherent katika mjadala, tukipandisha mjadala mmoja juu ya mwingine na mwingine tutapotea njia. Hoja yangu ya msingi ni kudenounce lugha ya kwamba kitendo cha kufungua matawi ya CCM nje ya nchi ni upuuzi, this statement is patronizing and statement from Zitto is needed.
Swala la kukaribishwa kwa balozi katika shughuli za ufunguzi wa matawi ni mjadala mwingine ambao naomba kwa sasa nisiuguse.

KUFUNGUA MATAWI YA CCM HUKO UK NI UPUUZI, PERIOD!
 
Ni muhmu tuwe coherent katika mjadala, tukipandisha mjadala mmoja juu ya mwingine na mwingine tutapotea njia. Hoja yangu ya msingi ni kudenounce lugha ya kwamba kitendo cha kufungua matawi ya CCM nje ya nchi ni upuuzi, this statement is patronizing and statement from Zitto is needed.
Swala la kukaribishwa kwa balozi katika shughuli za ufunguzi wa matawi ni mjadala mwingine ambao naomba kwa sasa nisiuguse.

Unajiletajileta hapa kwa Zitto kuwa atoe statement ya nini? huko ccm ndio mnataka atoe statement lakini hili la kutumia muda wa balozi kufungua matawi ya ccm ni upuuzi mkubwa sana.
 
Nani anataka kufundishwa na wewe? Unaonekana fisadi tu kwa kutetea matumizi ya muda na nafasi ya balozi kufungua matawi ya ccm ughaibuni. Nimekuita kuwa una pumba, je una tatizo na hilo?

Guess what Mgaya, am not good at personal attacks. If thats what you are up to, just go ahead and annouce yourself a victor.
 
Guess what Mgaya, am not good at personal attacks. If thats what you are up to, just go ahead and annouce yourself a victor.

Personal attacks ziko wapi hapa? huna hoja na umekamatwa pabaya unaanza kukimbia. Komeni kutumia muda wa balozi kufungua matawi ya ccm huko UK maana huo ni upuuuzi.
 
i ll ask that question my 4 year old daughter, if she answers correct i will not give you a reply, if not then I will answer you.

I love this answer!

Good job mama.....
 
i ll ask that question my 4 year old daughter, if she answers correct i will not give you a reply, if not then I will answer you.

Freedom of expression, usiruhusu mtu mwingine afikirie on your behalf.
 
Freedom of expression, usiruhusu mtu mwingine afikirie on your behalf.

Freedom of expression haihusiani na kufikiria...... ufisadi umekujaa hadi hata huwezi kutofautisha maana na matumizi ya maneno.
 
wewe huna hoja, ni shabiki tu.

Watu kama wewe wenye pumba na upuuzi wa kutumia balozi kufungua matawi ya ccm hawawezi kuona hili. Inabidi kuanza uombe msamaha kwa kuunga mkono upuuzi wa kiwango kikubwa kama hiki ndipo uwe na uwezo wa kusoma kinachoandikwa hapa.
 
Watu kama wewe wenye pumba na upuuzi wa kutumia balozi kufungua matawi ya ccm hawawezi kuona hili. Inabidi kuanza uombe msamaha kwa kuunga mkono upuuzi wa kiwango kikubwa kama hiki ndipo uwe na uwezo wa kusoma kinachoandikwa hapa.

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ! ! !
 
Nakuja Uholanzi na nitakuwepo huko kwa miaka miwili, Tafadhari mzee wa shughuli pevu niongeze katika orodha ya wanachama wako. naondoka Dsm 20 July. Taifa litajengwa na wenye Moyo, Tanzania iyooo mama, Tanzania iyoooo mama, iyo.
 
Mkuu mzee shughulu bwana.nimeona jinsi mlivyo na umoja.kumbe umoja wenu ni wa nchi tatu(Holland,Belgium na Lux)HONGERENI SANA.sasa tukiachana na UK,pia kuna nchi kadhaa za ASIA kama CHINA,MALAYSIA ,INDIA,ambako pia kuna watanzania wengi sana kwa kila nchi.sasa kama nyie nchi tatu mmeweza kuungana na kuwa na kiongozi,basi Mkuu naomba pia uchukue jukumu la kuwaelimisha hao wa tz wa ASIA,maana kwa kila nchi hawana muungano wa watz kama nchi ,bali kila jimbo na ka muungano kake.hii huwafanya wagawanyike jimbo moja hata jingine.kwa mfano nina rafiki yangu kule india na china wanasema kwao kuna watz wa NEW DEHL au BANGAROLE (INDIA HUKO) kule china utasikia watz wa BEIJING au SHANGHAI.na haya mambo ndo yalipelekea hata RISALA zao wakati MUUNGWANA alipokuwa huko MAJUZI kutokidhi maana nimeambiwa kila JIMBO liliandaa lisala yao si kama watz wa nchi moja bali wa jimbo fulani.NI WAKATI UMEFIKAKUELIMISHANA NA KUCHUKUA MFANO WA HUKO UDACHI
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom