Uchaguzi 2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

Utakuwa na damu ya kunguni, kujipendekeza kote huku hata kauteuzi tu hakuna.

Kuna watu dunia hii ni very slow learners! Pascal ni mmojawapo.
Magufuli na Mayalla wote wanatoka Mwanza lakini Magufuli alishamkataa homeboy wake kwasababu ya Unafiki wake.

Pascal anafikiri Magufuli ataacha kuwateua watoto wa dada itzake kina Dotto James(Chief Treasurer)na Heri James ( K/Mkuu -UVCCM)ateuliwe yeye!!!???
 
Wanabodi, baada ya uchaguzi, tukumbushane tuu tulisema nini na nini kimetokea.
Hii ndio jf.
P
 
Amekuwa mtu wa hovyo kabisa
Huyu jamaa sijui ni yeye kweli au msukule?

Akiambiwa ''acha bangi'' anajibu thank you.

Umezeeka vibaya.... thank you

Weee muongo unatumiwa thank you

Huyu siyo paskali msuksuu naye mjua mbishi ka dagaa!!!!
 
Maadam uchaguzi umemalizika salama, kuna ubaya tukimumbushana, nani humu alisema nini na nini kikatokea?.
P
 
Mkuu P tuache yote kwanza. Hebu tuletee thread ya " 1mil 1995". Mana itatufunza mengi. Mpunga uliishia wap !
Mpunga huo ulionekana mwingi, na ujana ule, kitu cha kwanza ni kula life, ni kubadili tuu viwanja, kila siku kwangu ilikuwa ni weekend!, kazi ilikuwa ni kuwabadili tuu kama nguo, hadi nilipogota mahali, nikavuta mzigo wa maana jumla na kufanya sherehe kufa mtu, baada tuu ya kuvuta mzigo, na uchaguzi kuisha, nikakwea pipa na ule mzigo, sisi hao, UK na US kula maisha!. Kumbe mpunga ule ulikuwa mwingi huku tuu kwenye umasikini uliotopea, lakini kwa nchi za wenzetu, it was nothing!. Mpunga ulikata, mzigo nikauacha US, nikarejea Bongo, apeche alolo, kuja kuanza upya, ila nilirudi Bongo na myama mkali kutoka US!.

P.
 
Imenichukua dakika kadhaa kufikiri kama mwandishi anaishi Tanzania. Baadaye nikagundua kuwa huenda anatafuta uteuzi ili kuganga njaa. Any way katika msafara wa mamba kenge hawakosekani twende tu hivyohivyo lakini tusisahau ule msemo wa wahenga kuwa kila mchuma janga hula na wa kwao.
 
Utapata uteuzi unapambana sana home boy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…