Uchaguzi 2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

Pascal kuna kijana wangu afande sasa hivi mlikuwa nae Udsm sheria anasema ulikuwa una supplementary za kufa mtu kila mwaka ulikiwa unashikwa. Enzii hizo unakula bata pale Golden bridge night club kabla ya ajali ya big bike.
 
Pascal Mayalla huenda wewe ni afisa kipenyo, huwa unapenyezewa nyeti kutoka Makumbusho.
 
Tarehe 27 na 28(znz na bara) hakuna uchaguzi zaidi ya wizi,sisi tutapiga kura za kutosha na kuzuia wizi ,mkizuia mawakala na kutowapa form ya matokeo basi kinanuka! Mwaka huu mnaondoka...No more wizi.

Maalim seif leo msipopiga kura basi andikeni mmeumia.
 
Nina uhakika kama JIWE akirudi madarakani basi safari hii atakupa hata UDAS ndugu muandishi jitahidi tu utaonekna.
 
kwahiyo?waambie watoto wako
 
Mimi hili si tabiri ... MAGUGULI ANASHINDA KWA ASILIMIA 70 ... na wabunge wa CHADEMA HAWATAZIDI na upinzani kwa ujumla hawatazidi viti 80
 
Msikilize huyu MPUUZI hapa akijikomba kwa huyo anayejiita MWENDAWAZIMU huku akiwa kimya kabisa kuhusu uminywaji wa habari Nchini wa kutisha tangu 2015. Mambo machafu ya Twitter anayaona sana huyu MNAFIKI lakini mambo machafu ya hii Serikali dhalimu hayaoni!!!
 
Mnashinda KIHALALI AU WIZI?

Kwanini serikali imezima mitandao kama kweli wana KIBALI CHA KUSHINDA?

okay, I understand you're a sycophant caged in the box and won't see what is cooking on outside.
 
Watu aina ya Pascal ni nyoka wa kuogopa kama ukoma kwa ubinafsi walionao.
 
Bro naelewa mno post zako

Wa tz wengi sio wapenzi wakusoma unawatesa.....


Be short n clever......


Usiweke bandiko kubwa maana unajua ata 60ml of tz 6k can read and......#

Wewe tafuta namna yakula na wanaoliwa....

Ukila wanao liwa lazima uteseke tuu...

Touch what hurt most...●fanya uchunguzi jua.....
●usiwe kinyume na walala hoi tulio wengi...deal na wenye vibati
●tupe moyo maana wewe ndo mwana jf pekee ambae tunajua unagombea kawe
● usipo tulalamikia tutakulalamikia na usichukie
 
Ndio mwandishi wa kwanza hovyo kuambulia kura moja na masifa yote Haya ya kijinga ambayo hayana tija kwa mtanzania zaidi ya self proud na ushamba wa usukumani.

Kujipendekeza kwingi kwa MTU aliyekuita njaa na ukaambulia patupu kwenye siasa.

Na ndio ulimchongea Kabendera mpaka akatiwa nguvuni.

Maisha yako yatajawa na mikosi sana kwa uliyoyafanya ambayo hukupaswa kuyafanya umeyafanya kwaajili ya maslahi binafsi.

Hamna mtu timamu anaweza kukuheshimu tena.
 

Mimi nipo huku Lyamungo Sinde, Machame naagalia uchaguzi lakini networt inataabu saana. Je unaweza kuniambia au kubashiri kuhusu wabunge watakao rudi hasa wabunge wazoefu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…