Uchaguzi 2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu


Haya maneno yanaweza kuwa sahihi, lakini michango yako niliisoma kama 60 hivi, na kama Pascal. N asababu nilitaka kujua kwa nini nyinyi ni Platinum members.

Uncle michango inakuhukumu. Mayala kwenda CCM sishangai na naamini kati ya wana JF waliokuwa wakimwambia kila wakati atake side naamini atathibitisha mimi ni mmoja wao.
In politics everybody has a side.
 
Wajumbe wa Kawe hawakujui kama wewe ni kada wakakunyoosha.
Ha ha ha ha ha haaaaaaa yani huyu jamaa kawa kituko tu humu ndani skuizi I am sure 90% wamesoma heading tu ya uzi huu halafu wanapita na comment za shombo

Sijui hata kaandika utumbo gani aliesoma ani samaraizie jamani msaada
 

Rizak Hussein , pole sana hichi kitu nakisikia mara kwa mara kwa opposition wenzangu, nakuwa mvivu wakati mwingi kuelezea ufasaha wake, nataka nikufahamishe: The best brain in this land iko CCM, walio soma na kufaulu kawaida tuu wengi ndio wako opposition.
 
Mimi hili si tabiri ... MAGUGULI ANASHINDA KWA ASILIMIA 70 ... na wabunge wa CHADEMA HAWATAZIDI na upinzani kwa ujumla hawatazidi viti 80

Kwa wabunge idadi uliyoweka ya 80 ni kubwa mnoo. Kwa hali tunayo kwenda nayo sidhani hata kama 15 bara watafika, labda visiwani 17. Uchaguzi huu ndio utakao fanya Chadema kiwe chama cha siasa.
 
Mimi ndie, mimi ndie, mimi ndie wa kwanza wa kwanza.........full of sh!t. Full of umimi. It doesn't help kujimwambafai does it?!

Kwenu nyie uongozi wa JF. Hii title ya thread ibadilisheni. Ibadilisheni kabisa maana if you read between the lines huyu jamaa kama vile anatangaza CCM imeongoza. Ki maadili this isn't right. Jf msitake ni confirm mawazo yangu ya nafsi kwangu kua nyie siku hizi mmekamatwa mkakamitika haswa. Tunachorwa tu humu ndani. If you know what I mean.

Ukiangalia huyu njaa ni kama vile kaanzisha huu uzi kwa kua anapenda kua the first to the first to ......baada matokeo kutangazwa siku hata za mbele atakuja kui quote hii post kwamba yeye ndie wa kwanza kutangaza CCM imeshinda. Whoever wins sawa lakini nyuzi zenye heading tata kama hizi mu edit hizo title. Anyhow who am I to advise you JF after all CCM has everything at hand, leaning towards them is understandable though it isn't health when it comes to level playing field or rather justice.
 
Umejitahidi sana safari hii. Ukikosa u-DC, katambike kwa kulala na mamk.
 
Hiyo chuki yako ni kutoka kwa shetani mwenyewe
 
Kama ulishindwa kusikia sauti moyoni mwako kuwa utaenda kushindwa kwa aibu kwenye kura za maoni Kawe unapata wapi ndoto za kusikia sauti ya ushindi kwa CCM Zanzibar?
Ni raia mpuuzi tu ndio anaweza kuamini kuwa CCM itashinda Zanzibar eti kwa kishindo.
 
Paskali unawaumiza wenzio waonee huruma. JPM mbele kwa mbele wasiompenda wahame nchi . Simples ... ..... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ooops Simple as that!
 
Mungu ambariki lissu.

Ila taarifa za awali nilizopata zimeniuma sanaaaa, yani uchaguzi ni maigizo,matokeo yametengenezwa tayari.

Eee Mungu wewe wajua CHADEMA yangu ipo ktk namna gani mioyoni mwa watu
 
Tafuta wanasaikolojia wakusaidie,tatizo la ugonjwa wa akili linakunyemelea.
 
Hujui ulichokiandika. Huwezi ishinda ccm kwa siasa za porojo. Ili CCM ishindwe, lazima ipasuke kwanza sasa badala ya kupasuka ndio ipo imara zaidi ya ilivyokuwa 2015.Huyu kibaraka Lissu mnampaisha bure tu, bwabwa hana lolote la kuwapa watanzania.Chama cha Mbowe ndio mwisho wake leo..
 
Huna akili.

CCM ilishakufa tangu enzi za Nyerere.

Kilichobaki ni Dola/ Kofia ya Rais/Mwenyekiti wa Chama
 
Mkuu Pasco kwaiyo tusiende kupiga kura matokeo tayari yapo mezani au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…