Mwana JF, Binti Mdada Mzuri Mrembo, Juliana Shonza, leo ametokelezea sana na amechangia vizuri!. Mshuhudie kupitia Bunge Live!

Mwana JF, Binti Mdada Mzuri Mrembo, Juliana Shonza, leo ametokelezea sana na amechangia vizuri!. Mshuhudie kupitia Bunge Live!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza

Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.

Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.

Watch Bunge live now!.

Paskali
Links
Huyu Dada nilipenda utendaji wake toka yupo Chadema, hivyo alipotimuliwa kule, niliumia sana na nikajaribu kumpigania Sana Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!

Hata katika shughuli mbalimbali za kijamii, nilimfuatilia Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!

Hata akijibu swali bungeni baada ya kuula, tulimfuatilia
 
Wanabodi

Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza

Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.

Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.

Watch Bunge live now!.

Paskali
Kwamba kupendeza kwake kuna mahusiano na hoja nzuri alotoa?

Bado hujakubali umri umekutupa mkono?
 
Wanabodi

Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza

Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.

Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.

Watch Bunge live now!.

Paskali
BUNGE AU KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CHAMA?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwamba kupendeza kwake kuna mahusiano na hoja nzur alotoa?

Bado hujakubali umri umekutupa mkono?
Hapana si umri, huyu ni mtu ambaye amepitia majaribio mengi sana ya jinsi ya kutumbukia ndani ya kisima cha CCM lakini wapi, vyura waliomo humzomea hivyo amekata tamaa na amebaki kuokoteza okoteza vivutio aonewe huruma.
Ushauri wangu kwake, ajaribu kuachana na Post za kusifia upande mmoja na ajikite kwenye Post zisizohusiana na siasa, ninaamini atachomoza na watu hawataamini.

I like his likes.
 
Huwezi kumsifia mwanamke bila kurejelea her physical attributes? Angekuwa ni mwanaume ungefanya hivyo? Urembo na uzuri wake wa mwili umechangia nini katika hiyo hoja aliyoitoa? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Mwanamme hasifiwi sura wala maumbile, kwa wanawake suala la mwonekano ni muhimu kuliko hata hizo mnazoita hoja…. acha wivu mlamu.
 
Wanabodi

Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza

Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.

Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.

Watch Bunge live now!.

Paskali
Mke wa mtu
 
Back
Top Bottom