Mzee Pascal Mayalla acha tabia ya kusifia wake za watu humu jukwaani....acha kabisa.Wanabodi
Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza
Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.
Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.
Watch Bunge live now!.
Paskali
Wewe utakuwa unahisia nae za kimwili, maana root of the content imeshiba kwenye umbo lake nasio hotubaWanabodi
Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza
Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.
Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.
Watch Bunge live now!.
Paskali
Mke wa mtu! Mbona mwendazake alikuwa anasifia wanawake weupe kwenye mikutano bila kujali kama ni mke wa mtu.Mke wa mtu
Wenye akili za mwendazake hawashwindwiMke wa mtu! Mbona mwendazake alikuwa anasifia wanawake weupe kwenye mikutano bila kujali kama ni mke wa mtu.
Sio misuti ya mterezo😆Mheshimiwa Juliana Shonza, njoo pm mama ili tupeane muongozo wa namna ya kuja mjengoni. Nataka nikija kuwatembelea hapo na Waheshimiwa wengine ambao nao ni Wajumbe wa jamii forums, mnitambulishe kwa hii ID yangu!
Yaani Mheshimiwa Spika Tulia Ackson aseme hivi "Waheshimiwa Wabunge, leo Mheshimiwa Juliana Shonza na Waheshimiwa Wabunge wengine ambao ni Wajumbe wa Jamii Forums akiwemo.............,.......! Wamepata bahati ya kutembelewa na Mjumbe mwenzao Tate Mkuu, kutoka Lushoto, Tanga!"
Halafu nasimama mzee mwenyewe! Full misuti ya gharama nini!!!
cc: WakudadavuaMke wa mtu unamuita binti mdada mzuri...
Ova
Paskali mroho sana
Ova
halafu yanatokea ya akina said tutakuja Tena kuletaa maadaa za kufarijiana na kulaaniMke wa mtu unamuita binti mdada mzuri...
Ova
Wanabodi
Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza
Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.
Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.
Watch Bunge live now!.
Paskali
Links
Huyu Dada nilipenda utendaji wake toka yupo Chadema, hivyo alipotimuliwa kule, niliumia sana na nikajaribu kumpigania Sana Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!
Hata katika shughuli mbalimbali za kijamii, nilimfuatilia Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!
Mke wa mtu unamuita binti mdada mzuri...
Ova
Huwezi kumsifia mwanamke bila kurejelea her physical attributes? Angekuwa ni mwanaume ungefanya hivyo? Urembo na uzuri wake wa mwili umechangia nini katika hiyo hoja aliyoitoa? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Mkuu paskali ni hilo tu!Wanabodi
Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza
Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.
Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.
Watch Bunge live now!.
Paskali
Links
Huyu Dada nilipenda utendaji wake toka yupo Chadema, hivyo alipotimuliwa kule, niliumia sana na nikajaribu kumpigania Sana Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!
Hata katika shughuli mbalimbali za kijamii, nilimfuatilia Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!
Yohana, usimjaribu madilu, utakuja kunishukuru baadae,Mwigullu alikuwepo?
Mkuu pasco una tatizo binafsi na CHADEMA? Je kuna mahali walikukosea pakubwa sana?Wanabodi
Baadhi ya wabunge wa Bunge la JMT ni active members wa JF, mmoja wao ni Mhe. Juliana Shonza
Baada ya kuchangia hotuba ya bajeti ya TAMISEMI, leo tena Mhe. Juliana Shonza anachangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali.
Kiukweli mwana JF huyu binti mdada ambaye pia ni mzuri na mrembo, kwa leo na jinsi alivyo tupia, kiukweli ametokelezea sana na amechangia vizuri sana. Hebu mshuhudie kupitia Bunge Live!.
Watch Bunge live now!.
Paskali
Links
Huyu Dada nilipenda utendaji wake toka yupo Chadema, hivyo alipotimuliwa kule, niliumia sana na nikajaribu kumpigania Sana Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015!
Hata katika shughuli mbalimbali za kijamii, nilimfuatilia Mwanajf, Naibu Waziri, Ahudhuria Birthday Wema Sepetu, Mlimani City, Avalia Gauni la Rangi ya Chanikiwiti, Apendeza!, Atokelezea!